-
Salehi: Iran haitavunja makubaliano ya JCPOA
Dec 18, 2016 15:17Mkuu wa Taasisi ya Atomiki ya Iran amesema kuwa: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitovunja makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina la JCPOA ila pale upande wa pili wa makubaliano hayo utakapofanya hivyo.
-
Mkurugenzi wa IAEA afanya mazungumzo na mkuu wa Shirika la Atomiki la Iran
Dec 18, 2016 07:33Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Umoja wa Mataifa IAEA, Yukia Amano, amewasili Tehran leo asubuhi na kufanya mazungumzo na mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran Ali Akbar Salehi.
-
Marekani inaendelea kukiuka mapatano ya nyuklia ya Iran
Dec 17, 2016 07:34Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema Marekani inaendelea kukiuka mapatano ya nyuklia ya Iran na madola sita makubwa duniani.
-
Iran Kuchukua hatua kali kuhusu ukiukwaji wa mapatano ya nyuklia
Dec 06, 2016 05:58Iran itachukua hatua kali na imara iwapo kutakuwepo ukiukwaji wowote wa mapatano ya nyuklia baina yake na madola sita makubwa duniani.
-
Salehi: Karibuni dawamiale zinazotengezwa nchini zitauzwa kwa wingi nje ya nchi
Oct 18, 2016 15:29Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema karibuni dawamiale (Radiopharmaceuticals) zinazotengezwa nchini zitaanza kusafirishwa na kuuzwa kwa wingi nje ya nchi.
-
Salehi: Uchumi wa Iran unategemea uwezo wa ndani na unaelekea kwenye kilele cha ustawi
Sep 30, 2016 04:28Makamu wa Rais wa Iran, ambaye pia ni Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki amesema uchumi wa taifa hili unategemea uwezo wa ndani na unaelekea kwenye kilele cha ustawi.
-
Salehi: Hatoitumia Marekani maji mazito ya nyuklia
May 31, 2016 07:43Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran amesema kuwa, Tehran imeamua kutoitumia tena Marekani maji mazito ya nyuklia.