Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Salehi

  • Salehi: Iran haitavunja makubaliano ya JCPOA

    Salehi: Iran haitavunja makubaliano ya JCPOA

    Dec 18, 2016 15:17

    Mkuu wa Taasisi ya Atomiki ya Iran amesema kuwa: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitovunja makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina la JCPOA ila pale upande wa pili wa makubaliano hayo utakapofanya hivyo.

  • Mkurugenzi wa IAEA afanya mazungumzo na mkuu wa Shirika la Atomiki la Iran

    Mkurugenzi wa IAEA afanya mazungumzo na mkuu wa Shirika la Atomiki la Iran

    Dec 18, 2016 07:33

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Umoja wa Mataifa IAEA, Yukia Amano, amewasili Tehran leo asubuhi na kufanya mazungumzo na mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran Ali Akbar Salehi.

  • Marekani inaendelea kukiuka mapatano ya nyuklia ya Iran

    Marekani inaendelea kukiuka mapatano ya nyuklia ya Iran

    Dec 17, 2016 07:34

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema Marekani inaendelea kukiuka mapatano ya nyuklia ya Iran na madola sita makubwa duniani.

  • Iran Kuchukua hatua kali kuhusu ukiukwaji wa mapatano ya nyuklia

    Iran Kuchukua hatua kali kuhusu ukiukwaji wa mapatano ya nyuklia

    Dec 06, 2016 05:58

    Iran itachukua hatua kali na imara iwapo kutakuwepo ukiukwaji wowote wa mapatano ya nyuklia baina yake na madola sita makubwa duniani.

  • Salehi: Karibuni dawamiale zinazotengezwa nchini zitauzwa kwa wingi nje ya nchi

    Salehi: Karibuni dawamiale zinazotengezwa nchini zitauzwa kwa wingi nje ya nchi

    Oct 18, 2016 15:29

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema karibuni dawamiale (Radiopharmaceuticals) zinazotengezwa nchini zitaanza kusafirishwa na kuuzwa kwa wingi nje ya nchi.

  • Salehi: Uchumi wa Iran unategemea uwezo wa ndani na unaelekea kwenye kilele cha ustawi

    Salehi: Uchumi wa Iran unategemea uwezo wa ndani na unaelekea kwenye kilele cha ustawi

    Sep 30, 2016 04:28

    Makamu wa Rais wa Iran, ambaye pia ni Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki amesema uchumi wa taifa hili unategemea uwezo wa ndani na unaelekea kwenye kilele cha ustawi.

  • Salehi: Hatoitumia Marekani maji mazito ya nyuklia

    Salehi: Hatoitumia Marekani maji mazito ya nyuklia

    May 31, 2016 07:43

    Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran amesema kuwa, Tehran imeamua kutoitumia tena Marekani maji mazito ya nyuklia.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS