-
Bin Salman aanzisha mradi wa ujasusi akishirikiana na Israel
Feb 03, 2022 04:47Duru za habari zimetangaza kuwa, utawala wa Saudi Arabia meanzisha mradi mkubwa zaidi wa ujasusi na kunasa sauti na mazungumzo simu za mkononi kwa ushirikiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Khatibzadeh: Uhai wa utawala vamizi wa Quds unafungamana na kufanya mauaji
Jan 31, 2022 08:12Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uhai wa utawala vamizi wa Quds unafungamana na ukandamizaji na kufanya mauaji.
-
Saudia yaua raia wa Yemen, ikiwemo familia nzima, katika hujuma dhidi ya Sana'a
Jan 18, 2022 23:32Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen amesema muungano wa kivita wa Saudi Arabia umetekeleza mashambulizi dhidi ya mji mkuu wa Yemen, Sana'a, ambapo raia 20, ikiwemo familia moja wameuawa.
-
Hizbullah: Marekani, Saudia wahusika wakuu wa vita vya kiuchumi dhidi ya Lebanon
Jan 15, 2022 23:14Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbuullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, Marekani na Saudi Arabia zimeanzisha vita vya kiuchumi dhidi ya Lebanon.
-
Balozi za Iran na Saudia kufunguliwa tena karibuni
Jan 15, 2022 08:42Mwanachama wa Kamati ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Saudia upo katika mkondo wa kuhuishwa.
-
Khatibzadeh: Ipo ajenda ya kufanyika duru ya tano ya mazungumzo baina ya Iran na Saudia
Jan 10, 2022 05:21Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amesema Iran na Saudia zinapanga kufanya awamu ya tano ya mazungumzo chini ya uenyeji wa nchi ya Iraq.
-
Miaka sita tangu kunyongwa Sheikh Nimr, ukandamizaji unaongezeka Saudia
Jan 02, 2022 11:53imepita miaka sita sasa tangu utawala wa kifalme wa Saudi Arabia ulipomnyonga manazuoni mashuhuri wa Kiislamu Sheikh Nimr Baqir al-Nimr, ambaye alitoa wito wa kuwepo demokrasia katika nchi hiyo na kuitisha maandamano dhidi ya utawala huo
-
Foreign Policy: Saudi Arabia imekuwa kitovu cha dawa za kulevya Asia Magharibi
Dec 25, 2021 01:01Jarida la Marekani la Foreign Policy limeandika kuwa, matumizi ya dawa za kulevya nchini Saudi Arabia yameongezeka kwa kasi kutokana na juhudi za Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman za kubadilisha utamaduni na itikadi za jamii ya nchi hiyo.
-
Ndege za muungano vamizi wa Saudia zauandama mji mkuu wa Yemen kwa mashambulio ya mabomu
Dec 23, 2021 08:34Ndege za kivita za muuungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia umeshambulia kwa mabomo mara kkadhaa mji mkuu wa Yemen Sana'a na kusababisha uharibu mkubwa.
-
Mkuu wa Umoja wa Maulamaa wa Muqawama: Saudia ni ajenti wa ubalozi wa Marekani Beirut
Dec 07, 2021 23:04Mkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Maulamaa wa Muqawama amesema: nafasi haribifu ya Saudi Arabia nchini Lebanon imekuwa kubwa zaidi kuliko harakati chafu za ubalozi wa Marekani katika mji mkuu wa nchi hiyo Beirut.