Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Bin Salman aanzisha mradi wa ujasusi akishirikiana na Israel

    Bin Salman aanzisha mradi wa ujasusi akishirikiana na Israel

    Feb 03, 2022 04:47

    Duru za habari zimetangaza kuwa, utawala wa Saudi Arabia meanzisha mradi mkubwa zaidi wa ujasusi na kunasa sauti na mazungumzo simu za mkononi kwa ushirikiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Khatibzadeh: Uhai wa utawala vamizi wa Quds unafungamana na kufanya mauaji

    Khatibzadeh: Uhai wa utawala vamizi wa Quds unafungamana na kufanya mauaji

    Jan 31, 2022 08:12

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uhai wa utawala vamizi wa Quds unafungamana na ukandamizaji na kufanya mauaji.

  • Saudia yaua raia wa Yemen, ikiwemo familia nzima, katika hujuma dhidi ya Sana'a

    Saudia yaua raia wa Yemen, ikiwemo familia nzima, katika hujuma dhidi ya Sana'a

    Jan 18, 2022 23:32

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen amesema muungano wa kivita wa Saudi Arabia umetekeleza mashambulizi dhidi ya mji mkuu wa Yemen, Sana'a, ambapo raia 20, ikiwemo familia moja wameuawa.

  • Hizbullah: Marekani, Saudia wahusika wakuu wa vita vya kiuchumi dhidi ya Lebanon

    Hizbullah: Marekani, Saudia wahusika wakuu wa vita vya kiuchumi dhidi ya Lebanon

    Jan 15, 2022 23:14

    Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbuullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, Marekani na Saudi Arabia zimeanzisha vita vya kiuchumi dhidi ya Lebanon.

  • Balozi za Iran na Saudia kufunguliwa tena karibuni

    Balozi za Iran na Saudia kufunguliwa tena karibuni

    Jan 15, 2022 08:42

    Mwanachama wa Kamati ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Saudia upo katika mkondo wa kuhuishwa.

  • Khatibzadeh: Ipo ajenda ya kufanyika duru ya tano ya mazungumzo baina ya Iran na Saudia

    Khatibzadeh: Ipo ajenda ya kufanyika duru ya tano ya mazungumzo baina ya Iran na Saudia

    Jan 10, 2022 05:21

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amesema Iran na Saudia zinapanga kufanya awamu ya tano ya mazungumzo chini ya uenyeji wa nchi ya Iraq.

  • Miaka sita tangu kunyongwa Sheikh Nimr, ukandamizaji unaongezeka Saudia

    Miaka sita tangu kunyongwa Sheikh Nimr, ukandamizaji unaongezeka Saudia

    Jan 02, 2022 11:53

    imepita miaka sita sasa tangu utawala wa kifalme wa Saudi Arabia ulipomnyonga manazuoni mashuhuri wa Kiislamu Sheikh Nimr Baqir al-Nimr, ambaye alitoa wito wa kuwepo demokrasia katika nchi hiyo na kuitisha maandamano dhidi ya utawala huo

  • Foreign Policy: Saudi Arabia imekuwa kitovu cha dawa za kulevya Asia Magharibi

    Foreign Policy: Saudi Arabia imekuwa kitovu cha dawa za kulevya Asia Magharibi

    Dec 25, 2021 01:01

    Jarida la Marekani la Foreign Policy limeandika kuwa, matumizi ya dawa za kulevya nchini Saudi Arabia yameongezeka kwa kasi kutokana na juhudi za Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman za kubadilisha utamaduni na itikadi za jamii ya nchi hiyo.

  • Ndege za muungano vamizi wa Saudia zauandama mji mkuu wa Yemen kwa mashambulio ya mabomu

    Ndege za muungano vamizi wa Saudia zauandama mji mkuu wa Yemen kwa mashambulio ya mabomu

    Dec 23, 2021 08:34

    Ndege za kivita za muuungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia umeshambulia kwa mabomo mara kkadhaa mji mkuu wa Yemen Sana'a na kusababisha uharibu mkubwa.

  • Mkuu wa Umoja wa Maulamaa wa Muqawama: Saudia ni ajenti wa ubalozi wa Marekani Beirut

    Mkuu wa Umoja wa Maulamaa wa Muqawama: Saudia ni ajenti wa ubalozi wa Marekani Beirut

    Dec 07, 2021 23:04

    Mkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Maulamaa wa Muqawama amesema: nafasi haribifu ya Saudi Arabia nchini Lebanon imekuwa kubwa zaidi kuliko harakati chafu za ubalozi wa Marekani katika mji mkuu wa nchi hiyo Beirut.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS