-
Wapalestina 160 wanateseka katika jela za Saudi Arabia hivi sasa
Jun 19, 2021 21:53Shirika la habari la "Palestine Today" limetangaza kuwa, sasa hivi kuna Wapalestina 160 wanaoteseka katika jela za ukoo wa Aal Saud nchini Saudi Arabia. Wapalestina hao wanashikiliwa kwenye jela hizo za Saudi Arabia kwa tuhuma za kuwa wanachama wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS.
-
Saudia yawavurumishia maroketi wananchi wa Yemen
Jun 17, 2021 03:31Katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa wimbi la mashambulio ya kikatili dhidi ya Yemen, muungano wa kijeshi wa Saudi Arabia umeyavurumishia maroketi makazi ya raia katika mikoa kadhaa ya nchi hiyo maskini jirani yake.
-
Jeshi la Yemen latoa picha za askari wa Saudia, mamluki wa Sudan waliokamatwa
Jun 15, 2021 22:04Idara ya Upashaji Habari ya Kamandi Kuu ya Operesheni za Yemen imesambaza picha na mahojiano waliofanyiwa wanajeshi kadhaa wa Saudia, na mamluki wa Sudan waliokamatwa na vikosi vya Yemen katika operesheni ya hivi karibu katika mkoa wa Jizan, huko kusini mwa Saudi Arabia.
-
Makumi ya wanajeshi wa Saudia waangamizwa mkoa wa Jizan
May 30, 2021 03:16Operesheni iliyofanywa na jeshi la Yemen huko kusini mwa Saudi Arabia imeangamiza na kujeruhi makumi ya wanajeshi wa utawala huo wa kifalme.
-
Hizbullah ya Iraq: Wazayuni na Marekani wakiishambulia Saudia, tutakuwa wa mbele kuihami
May 06, 2021 21:52Msemaji wa harakati ya muqawama ya Kataeb Hizbullah ya Iraq amesema, misingi ya muqawama haiwezi kubadilika na akabainisha kuwa, endapo Saudi Arabia itakabiliwa na hatari ya kushambuliwa na Wazayuni na Marekani, mhimili wa muqawama utakuwa wa mbele kuliko yeyote yule kuihami nchi hiyo.
-
Safari ya pili ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Saudia nchini Qatar katika kipindi cha chini ya miezi miwili
Apr 29, 2021 05:00Faisal bin Farhan bin Abdallah Al Saud, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Saudi Arabia alasiri ya Aprili 26 aliwasili Doha mji mkuu wa Qatar ambapo alikutana na kufanya mazungumzo na Mohammed bin Abdulrahman bin Jassim Al Thani, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi hiyo.
-
Saudia inaongoza katika nchi za Kiarabu na ni ya sita duniani kwa bajeti kubwa ya kijeshi
Apr 27, 2021 23:14Taasisi ya kimataifa ya tafiti za masuala ya amani ya Stockholm imeeleza katika ripoti yake kuwa, Saudi Arabia inashika nafasi ya kwanza kati ya nchi za Kiarabu na ni ya sita kati ya nchi zote duniani kwa kutumia fedha nyingi kwa ajili ya bajeti ya masuala ya kijeshi.
-
Saudi Leaks: Bin Salman anatumia pombe, ni mraibu wa dawa za kulevya
Apr 26, 2021 23:50Mtandao wa Saudi Leaks umefichua kuwa, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman anatumia dawa za kulevya ni ni mraibu wa heroni.
-
Yafichuka: Bin Salman anahonga vyombo vya habari ili kusafisha sura yake duniani
Apr 25, 2021 07:49Mtandao mmoja wa habari nchini Marekani umefichua kuwa, mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman amefunga mkataba wa gharama kubwa ya fedha na kampuni moja ya Marekani kwa shabaha ya kuboresha sura yake iliyochafuka sana mbele ya macho ya walimwengu.
-
Mamluki wa Saudia na Imarati wapigana wao kwa wao kusini mwa Yemen
Apr 12, 2021 06:54Mamluki wa kundi linalojiita Baraza la Mpito la Kusini lenye mfungamano na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na wale wa serikali iliyojiuzulu ya Yemen wenye mfungamano na Saudi Arabia kwa mara nyingine tena wamepigana wao kwa wao huko kusini mwa Yemen.