Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Kamanda wa jeshi la Saudia auzuliwa kufuatia vipigo mtawalia vya wapiganaji wa Yemen

    Kamanda wa jeshi la Saudia auzuliwa kufuatia vipigo mtawalia vya wapiganaji wa Yemen

    Feb 18, 2019 03:43

    Utawala wa Aal Saud umemuuzulu kamanda wa Brigedi ya Mfalme Abdul Aziz ya jeshi la nchi hiyo kufuatia vipigo mtawalia na kushindwa vibaya jeshi hilo katika mapambano na jeshi na vikosi vya kujitolea vya wananchi wa Yemen.

  • Erdogan aapa kufuatilia mauaji ya Khashoggi katika mahakama ya kimataifa

    Erdogan aapa kufuatilia mauaji ya Khashoggi katika mahakama ya kimataifa

    Feb 16, 2019 04:29

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema nchi yake iko mbioni kupeleka kesi ya mauaji ya mwanahabari mpinzani wa utawala wa Saudia Jammal Khasoggi katika mahakama ya kimataifa.

  • Saudi Arabia yawekwa katika orodha ya nchi zinazojihusisha na utakatishaji fedha

    Saudi Arabia yawekwa katika orodha ya nchi zinazojihusisha na utakatishaji fedha

    Feb 13, 2019 11:18

    Umoja wa Ulaya umeiweka nchi ya Saudi Arabia katika orodha nyeusi ya umoja huo ya nchi zinazojihusisha na vitendo vya utakatishaji fedha.

  • Kampeni ya kutaka kuachiwa huru wanaharakati wanawake wanaoshikiliwa jela Saudia yashika kasi

    Kampeni ya kutaka kuachiwa huru wanaharakati wanawake wanaoshikiliwa jela Saudia yashika kasi

    Feb 09, 2019 12:10

    Vyombo mbalimbali vya habari yakiwemo magazeti ya New York Times, Washington Post, The Guardian, El País na Los Angeles Times vimeanzisha kampeni kubwa ya kuushinikiza utawala wa kifalme wa Aal-Saud uwaachilie huru wanaharakati wa kike wa haki za binadamu wanaoshikiliwa katika jela za Saudi Arabia.

  • Wabunge wa Uingereza: Viongozi wa Saudia ndio wahusika wakuu wa utesaji wa wanawake katika jela

    Wabunge wa Uingereza: Viongozi wa Saudia ndio wahusika wakuu wa utesaji wa wanawake katika jela

    Feb 05, 2019 00:14

    Wawakilishi watatu katika bunge la Uingereza wamesema kuwa, viongozi wa ngazi ya juu wa Saudi Arabia ndio wahusika wakuu wa utesaji dhidi ya wanaharakati wa kike wanaoshikiliwa katika jela za nchi hiyo.

  • Saudia yalazimika kusitisha hukumu ya kifo dhidi ya mwanaharakati wa masuala ya kiraia

    Saudia yalazimika kusitisha hukumu ya kifo dhidi ya mwanaharakati wa masuala ya kiraia

    Feb 02, 2019 04:32

    Kufuatia kushtadi mashinikizo ya Mashirika ya Haki za Binaadamu, utawala wa Aal-Saud umelazimika kusitisha hukumu ya kunyongwa Bi. Israa al-Ghomgham, mwanamke anayejihusisha na harakati za kiraia wa mji wa Qatif, mashariki mwa Saudia.

  • Makabiliano ya Saudia na Qatar nchini Sudan

    Makabiliano ya Saudia na Qatar nchini Sudan

    Jan 27, 2019 08:22

    Baada ya safari ya siku mbili ya Rais Omar al-Bashir wa Sudan mjini Doha, Qatar Mfalme wa Saudia pia alituma ujumbe huko Sudan ulioongozwa na mmoja wa mawaziri wake kwa ajili ya kukutana na al-Bashir.

  • Seneta muitifaki wa Trump: Bila

    Seneta muitifaki wa Trump: Bila "kumshughulikia" Bin Salman, uhusiano wa Marekani na Saudia hauwezi kuendelea

    Jan 19, 2019 12:03

    Uhusiano kati ya Marekani na Saudi Arabia hauwezi kupiga hatua mbele bila ya "kushughulikiwa" mrithi wa Ufalme wa Saudia, Muhammad bin Salman. Hayo yamesemwa na Lindsey Graham, Seneta wa chama cha Repubican na muitifaki wa karibu wa Rais wa Marekakni Donald Trump.

  • Pembetatu ya kuzua mivutano katika Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi

    Pembetatu ya kuzua mivutano katika Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi

    Jan 18, 2019 23:36

    Katika ripoti yake ya hivi karibuni, shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kuwa hali ya haki za binadamu katika nchi tatu za Saudi Arabia, Imarati na Bahrain ni ya kutisha mno.

  • Mwanasiasa Uturuki: Kufeli Saudia Yemen kumebatilisha njozi za US za kuanzisha Mashariki ya Kati mpya

    Mwanasiasa Uturuki: Kufeli Saudia Yemen kumebatilisha njozi za US za kuanzisha Mashariki ya Kati mpya

    Jan 16, 2019 01:13

    Mtaalamu wa masuala ya kisiasa nchini Uturuki amesema kuwa, kushindwa Saudi Arabia kuidhibiti Yemen katika vita vyake dhidi ya nchi hiyo, kumebatilisha ndoto za Marekani za kuanzisha Mashariki ya Kati mpya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS