-
Wayemen wafanya shambulizi jingine la ndege isiyo na rubani kusini mwa Saudia
Jan 15, 2019 04:39Kikosi cha mizinga cha jeshi la Yemen kwa kushirikiana na Harakati ya Wananchi ya Answarullah, kimefanya shambulizi katika mji wa Najran, kusini mwa Saudi Arabia.
-
Washington Post: Mohammad bin Salman amezidisha ukandamizaji dhidi ya wapinzani
Jan 11, 2019 13:05Gazeti la Washington Post la Marekani limeanika kwamba Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia na mtuhumiwa nambari moja wa mauaji dhidi ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari na mkosoaji wa Saudia, anaendelea kufanya ukandamizaji dhidi ya wapinzani wake nchini humo.
-
Makundi yanayoungwa mkono na Saudia yakasirishwa na nchi za Kiarabu kuanzisha uhusiano tena na Syria
Jan 07, 2019 04:17Makundi ya wanamgambo nchini Syria yanayoungwa na mkono na Saudi Arabia yamekasirishwa na hatua ya mataifa ya Kiarabu ya kuanzisha tena uhusiano wao na serikali ya Syria inayoongozwa na Rais Bashar al-Assad.
-
Guardian: Saudia ndiyo yenye rekodi mbaya zaidi ya haki za binadamu duniani
Jan 05, 2019 23:06Gazeti la Uingereza la The Guardian limeripoti kuwa Saudi Arabia ndiyo yenye rekodi mbaya zaidi ya haki za binadamu duniani.
-
Wanawake wafungwa wa kisiasa Saudi Arabia wakabiliwa na mateso makali
Jan 04, 2019 23:11Wafungwa wa kisiasa waliopo jela nchini Saudi Arabia wanakabiliwa na mateso makali zaidi wanayofanyiwa kwa kutumia njia mbalimbali.
-
Wimbi jipya la mabadiliko katika serikali ya Saudia na kuzidi kuwa tete anga ya kisiasa ya nchi hiyo
Dec 28, 2018 21:36Mfalme Salman bin Abdulaziz wa Saudi Arabia, siku ya Alkhamisi alitoa amri ya dharura ya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri la nchi hiyo.
-
Saudia yatishia kuwaadhibu raia wake waliokwenda Russia na kukataa kurudi nyumbani
Dec 28, 2018 03:31Ubalozi wa Saudia mjini Moscow umetishia kuwa, Riyadh itawaadhibu vikali raia wa nchi hiyo waliokwenda kwenye mashindano ya fainali za kombe la dunia la mpira wa miguu nchini Russia na hadi hivi sasa wanang'ang'ania kubakia huko huko hawataki kurudi nchini Saudi Arabia.
-
Kukiuka Saudi Arabia makubaliano ya Sweden
Dec 18, 2018 07:57Baada ya kupita siku tano tangu kufikiwa makubaliano baina ya makundi ya Yemen, Saudi Arabia imeendelea kukiuka makubaliano hayo.
-
Erdogan: Muuaji wa Khashoggi alisikika akisema 'Najua Namna ya Kukata'
Dec 15, 2018 11:07Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amefichua kuwa katika sehemu ya faili la sauti kuhusu mauaji ya Jamal Khashoggi, mmoja kati ya wauaji wa mpinzani huyo wa utawala wa Saudia alisikika akijigamba kuwa, 'Najua namna ya kukata.'
-
Saudia imekiuka mapatano ya Hudaydah, Yemen mara 21 masaa 24 yaliyopita
Dec 15, 2018 11:00Saudi Arabia imekiuka mapatano ya amani ya Yemen kwa kutuma ndege zake za kivita kushambulia eneo la Hudaydah mara 21 katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita.