Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shirika la Biashara Duniani

  • Shirika la Ujasusi la Russia: NATO inapanga kumuondoa madarakani rais wa Ukraine, Zelensky

    Shirika la Ujasusi la Russia: NATO inapanga kumuondoa madarakani rais wa Ukraine, Zelensky

    Feb 04, 2025 10:28

    Shirika la kijeshi la NATO linafikiria kufanikisha mpango wa kumuondoa madarakani Rais wa Ukraine Vladimir Zelensky kwa 'kumchafua' kabla ya uchaguzi ujao utakaofanyika mwakani. Hayo yameelezwa katika ripoti iliyotolewa na Shirika la Ujasusi la Russia la Nje ya Nchi (SVR).

  • Afrika Kusini: 'Tunaadhibiwa' kwa kugundua spishi mpya ya corona ya Omicron

    Afrika Kusini: 'Tunaadhibiwa' kwa kugundua spishi mpya ya corona ya Omicron

    Nov 27, 2021 13:06

    Afrika Kusini imesema, inahisi "inaadhibiwa" kwa kugundua spishi mpya ya kirusi cha corona aina ya Omicron kutokana na marufuku mbalimbali zilizowekwa zikiwemo za kuzuia wasafiri kutoka nchi za kusini mwa Afrika kuelekea mataifa mengine ya dunia.

  • WTO yatoa wito wa kutumwa chanjo ya corona kwenye nchi maskini

    WTO yatoa wito wa kutumwa chanjo ya corona kwenye nchi maskini

    Apr 27, 2021 04:21

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Biashara Duniani (WTO) amezishukuru baadhi ya nchi kama India na China kwa kuziuzia nchi nyingine chanjo ya virosi vya corona na kuzitaka Marekani na Uingereza kufuata nyayo na kupeleka chanjo hiyo kwenye nchi maskini.

  • Indhari ya WTO ya kutokea mgogoro mkubwa zaidi wa kiuchumi katika historia ya mwanadamu

    Indhari ya WTO ya kutokea mgogoro mkubwa zaidi wa kiuchumi katika historia ya mwanadamu

    Apr 10, 2020 02:32

    Mlipuko wa virusi vya Corona na maradhi ya Covid-19 kwa sasa umeenea karibu katika mataifa yote ya ulimwengu.

  • Taarifa ya mwisho ya mkutano wa kundi la G20; kusisitizwa ushirikiano na mabadiliko ya muundo wa Shirika la Biashara Duniani (WTO)

    Taarifa ya mwisho ya mkutano wa kundi la G20; kusisitizwa ushirikiano na mabadiliko ya muundo wa Shirika la Biashara Duniani (WTO)

    Dec 02, 2018 15:05

    Mkutano wa 13 wa viongozi wa kundi la G20 umefikia tamati katika hali ambayo, Marekani ilikabiliwa na hali ya kutengwa kikamilifu huku washiriki wa mkutano HUO wakisisitiza katika taarifa yao ya mwisho juu ya haja ya kufanyika mabadiliko katika muundo wa Shirika la Biashara Duniani (WTO), kuheshimiwa makubaliano ya tabiachi ya Paris na kuendelezwa siasa za ushirikiano.

  • Zaidi ya nchi 40 za dunia zapinga siasa za kibiashara za Trump

    Zaidi ya nchi 40 za dunia zapinga siasa za kibiashara za Trump

    Jul 04, 2018 04:15

    Wawakilishi wa zaidi ya nchi 40 za dunia, walioshiriki kikao cha Baraza la Bidhaa la Shirika la Biashara Duniani WTO huko Geneva Uswisi, wamepinga mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kupandisha ushuru wa magari na vipuri vyake.

  • Neematzadeh: Marekani ndio inayokwamisha Iran kujiunga na WTO

    Neematzadeh: Marekani ndio inayokwamisha Iran kujiunga na WTO

    May 09, 2016 04:41

    Waziri wa Viwanda, Madini na Biashara wa Iran amesema tatizo la Iran kujiunga na Shirika la Biashara Duniani (WTO) ni la kisiasa na linatokana na upinzani wa Marekani.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS