Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Spika

  • Bunge limeridhia kuvuliwa unachama wabunge 8 wa CUF

    Bunge limeridhia kuvuliwa unachama wabunge 8 wa CUF

    Jul 26, 2017 17:11

    Siku moja baada ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai kupokea barua kutoka kwa Mwenyekiti wa CUF Taifa anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili, Prof. Ibrahim Lipumba inayoeleza kuwafukuza uanachama Wabunge wanane wa Viti Maalum na Madiwani wawili, Bunge limeridhia.

  • Spika wa zamani wa Tanzania afariki dunia, Rais Magufuli atoa mkono wa pole

    Spika wa zamani wa Tanzania afariki dunia, Rais Magufuli atoa mkono wa pole

    Nov 07, 2016 08:03

    Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania ametoa mkono wa rambirambi kufuatia kifo cha spika wa zamani wa bunge la nchi hiyo, Samuel Sitta aliyefariki dunia usiku wa kuamkia leo nchini Ujerumaini alikokuwa anapatiwa matibabu.

  • Spika wa Bunge la Kenya awasili Tehran kwa ziara rasmi

    Spika wa Bunge la Kenya awasili Tehran kwa ziara rasmi

    Sep 23, 2016 08:07

    Spika wa Bunge la Kenya amewasili leo hapa mjini Tehran akiuongoza ujumbe wa nchi yake kwa shabaha ya kufanya ziara rasmi

  • Spika wa Bunge la Iran asisitiza kutekelezwa makubaliano ya nyuklia (JCPOA)

    Spika wa Bunge la Iran asisitiza kutekelezwa makubaliano ya nyuklia (JCPOA)

    Apr 28, 2016 15:16

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesisitiza kutekelezwa makubaliano ya nyuklia baina ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi zinazounda kundi la 5+1 yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Larijani: Uchaguzi wa Bunge umezidisha hadhi ya Iran kimataifa

    Larijani: Uchaguzi wa Bunge umezidisha hadhi ya Iran kimataifa

    Feb 29, 2016 08:17

    Spika wa Bunge la Iran amesema kuwa mahudhurio makubwa ya wananchi wa Iran katika uchaguzi uliofanyika Ijumaa iliyopita hapa nchini yamezidisha hadhi ya Iran katika nyanja za kimataifa.

  • Larijan: Iran inataka kuona umoja wa kiistrataji miongoni mwa Waislamu

    Larijan: Iran inataka kuona umoja wa kiistrataji miongoni mwa Waislamu

    Feb 28, 2016 07:54

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesema moja ya sera za Jamhuri ya Kiislamu ni kuona umoja na mshikamano wa kiistratajia katika ulimwengu wa Kiislamu unadumishwa.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS