-
Bunge limeridhia kuvuliwa unachama wabunge 8 wa CUF
Jul 26, 2017 17:11Siku moja baada ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai kupokea barua kutoka kwa Mwenyekiti wa CUF Taifa anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili, Prof. Ibrahim Lipumba inayoeleza kuwafukuza uanachama Wabunge wanane wa Viti Maalum na Madiwani wawili, Bunge limeridhia.
-
Spika wa zamani wa Tanzania afariki dunia, Rais Magufuli atoa mkono wa pole
Nov 07, 2016 08:03Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania ametoa mkono wa rambirambi kufuatia kifo cha spika wa zamani wa bunge la nchi hiyo, Samuel Sitta aliyefariki dunia usiku wa kuamkia leo nchini Ujerumaini alikokuwa anapatiwa matibabu.
-
Spika wa Bunge la Kenya awasili Tehran kwa ziara rasmi
Sep 23, 2016 08:07Spika wa Bunge la Kenya amewasili leo hapa mjini Tehran akiuongoza ujumbe wa nchi yake kwa shabaha ya kufanya ziara rasmi
-
Spika wa Bunge la Iran asisitiza kutekelezwa makubaliano ya nyuklia (JCPOA)
Apr 28, 2016 15:16Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesisitiza kutekelezwa makubaliano ya nyuklia baina ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi zinazounda kundi la 5+1 yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).
-
Larijani: Uchaguzi wa Bunge umezidisha hadhi ya Iran kimataifa
Feb 29, 2016 08:17Spika wa Bunge la Iran amesema kuwa mahudhurio makubwa ya wananchi wa Iran katika uchaguzi uliofanyika Ijumaa iliyopita hapa nchini yamezidisha hadhi ya Iran katika nyanja za kimataifa.
-
Larijan: Iran inataka kuona umoja wa kiistrataji miongoni mwa Waislamu
Feb 28, 2016 07:54Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesema moja ya sera za Jamhuri ya Kiislamu ni kuona umoja na mshikamano wa kiistratajia katika ulimwengu wa Kiislamu unadumishwa.