Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Damascus yakosoa utendaji dhaifu wa UN katika kuwasaidia wahanga wa tetemeko la ardhi

    Damascus yakosoa utendaji dhaifu wa UN katika kuwasaidia wahanga wa tetemeko la ardhi

    Feb 09, 2023 04:28

    Mkurugenzi wa Shirika la Huduma za Kiraia na Misaada la Syria amekosoa utendaji wa Umoja wa Mataifa katika kuwasaidia wahanga wa tetemeko la ardhi na kutangaza kwamba maelfu ya familia za Syria wamepoteza makazi na nyumba zao kutokana na janga hilo.

  • Venezuela yaonyesha mshikamano wake kwa Uturuki na Syria; yatuma misaada ya kibinadamu kwa waathirika wa zilzala

    Venezuela yaonyesha mshikamano wake kwa Uturuki na Syria; yatuma misaada ya kibinadamu kwa waathirika wa zilzala

    Feb 08, 2023 22:49

    Kikosi cha waokoaji 52 wa Venezuela na wahudumu wa idara ya zima moto waliondoka jana Jumatano Caracas wakielekea katika nchi za Uturuki na Syria kwa ajili ya operesheni ya uokoaji wa waathirika wa tetemeko la ardhi lililozikumba nchi hizo.

  • Magaidi karibu ya 20 wa Daesh wametoroka jela Syria kufuatia tetemeko la ardhi

    Magaidi karibu ya 20 wa Daesh wametoroka jela Syria kufuatia tetemeko la ardhi

    Feb 07, 2023 08:31

    Takriban magaidi wa Daesh 20 waliokuwa wamefungwa jela katika gereza moja nchini Syria jana walitoroka baada ya kufanya uasi kufuatia tetemeko la ardhi lililoikumba nchi hiyo na Uturuki jana asubuhi.

  • Syria: Vikwazo vya kidhalimu vya Marekani vinazidisha maafa ya tetemeko la ardhi

    Syria: Vikwazo vya kidhalimu vya Marekani vinazidisha maafa ya tetemeko la ardhi

    Feb 07, 2023 03:43

    Kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea kaskazini ya Syria, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo amesema, athari za vikwazo vya upande mmoja vya Marekani zinaongeza maafa ya janga hilo la kimaumbile.

  • Iran yatoa mkono wa pole kufuatia matetemeko ya ardhi yaliyoua maelfu ya watu Uturuki, Syria

    Iran yatoa mkono wa pole kufuatia matetemeko ya ardhi yaliyoua maelfu ya watu Uturuki, Syria

    Feb 06, 2023 23:34

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za rambirambi kwa serikali na wananchi wa Uturuki na Syria, kufuatia mitetemeko miwili mikubwa ya ardhi iliyoyakumba maeneo ya kusini mashariki mwa Uturuki na kaskazini mwa Syria.

  • Indhari ya UN: Njaa inatishia maisha ya mamilioni ya Wasyria

    Indhari ya UN: Njaa inatishia maisha ya mamilioni ya Wasyria

    Jan 29, 2023 04:18

    Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) limetahadharisha kuhusu hatari inayotishia maisha ya mamilioni ya wananchi wa Syria kutokana na ukosefu wa chakula na njaa.

  • Raisi: Uhusiano wa Iran na Syria umejengeka katika misingi ya muqawama

    Raisi: Uhusiano wa Iran na Syria umejengeka katika misingi ya muqawama

    Jan 24, 2023 23:34

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uhusiano wa Iran na Syria ni thabiti na kwamba umejengwa katika misingi ya moyo wa muqawama na mapambano ya wananchi wa mataifa haya mawili.

  • Kambi ya jeshi ya Marekani yashambuliwa kwa droni nchini Syria

    Kambi ya jeshi ya Marekani yashambuliwa kwa droni nchini Syria

    Jan 21, 2023 06:52

    Kamandi Kuu ya Jeshi la Marekani (CENTCOM) imekiri kuwa, moja ya kambi za kistratejia za nchi hiyo huko kusini mwa Syria imeshambuliwa kwa ndege zisizo na rubani (droni).

  • Syria yalaani vikwazo vya kikatili vya US dhidi ya sekta ya afya ya nchi hiyo

    Syria yalaani vikwazo vya kikatili vya US dhidi ya sekta ya afya ya nchi hiyo

    Jan 17, 2023 09:37

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imeilaani vikali Marekani kwa kulenga sekta ya afya ya nchi hiyo ya Kiarabu kwa vikwazo vya upande mmoja.

  • Russia: Vikwazo vya Magharibi vimeshadidisha hali mbaya ya kibinadamu Syria

    Russia: Vikwazo vya Magharibi vimeshadidisha hali mbaya ya kibinadamu Syria

    Jan 11, 2023 07:39

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema Wamagharibi wanabeba dhima ya kushtadi hali mbaya ya kibinadamu nchini Syria kutokana na vikwazo vyao vya upande mmoja.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS