-
Iran kuongeza ushirikiano wake wa sayansi na teknolojia na nchi za Kiislamu
Jun 01, 2016 23:37Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itapanua zaidi wigo wa ushirikiano wake katika masuala ya sayansi na teknolojia na nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC.