• Ijumaa ya leo, siku ya uchaguzi Iran

    Ijumaa ya leo, siku ya uchaguzi Iran

    Feb 26, 2016 06:58

    Mamilioni ya wananchi wa Iran tangu mapema leo wameelekea katika vituo vya kupigia kura kuchagua wawakilishi wao katika Bunge la 10 la Jamhuri ya Kiislamu na Baraza la 5 la Wataalamu Wanaochagua Kiongozi wa Juu wa Iran.

  • Wananchi wa Uganda leo wanashiriki katika uchaguzi wa Rais na Bunge

    Wananchi wa Uganda leo wanashiriki katika uchaguzi wa Rais na Bunge

    Feb 18, 2016 02:45

    Wananchi wa Uganda waliotimiza masharti ya kupiga kura leo wanaelekea katika vituo vya kupigia kura kumchagua Rais na wawakilishi wao wa Bunge.

  • EC yaonya wenye nia ya kuvuruga uchaguzi  Uganda

    EC yaonya wenye nia ya kuvuruga uchaguzi Uganda

    Feb 18, 2016 02:12

    Tume ya uchaguzi nchini Uganda imewaonya vikali wenye nia ya kuvuruga zoezi la upigaji kura linalofanyika leo (Alkhamisi) na kusisitiza kuwa, watu wa aina hiyo watachukuliwa hatua kali za kisheria. Tume hiyo pia imesisitiza kuwa uchaguzi wa leo nchini Uganda utakuwa huru na wa haki.