Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Wafanyakazi wa bandari Ufaransa, Italia wazuia kupelekwa silaha Israel

    Wafanyakazi wa bandari Ufaransa, Italia wazuia kupelekwa silaha Israel

    Jun 07, 2025 06:58

    Wafanyakazi wa bandari za Ufaransa na Italia wameendelea kufanya mgomo wao na kukataa kupakia shehena za silaha na zana za kijeshi zinazopelekwa Israel, wakisema kuwa hawatahusika katika "mauaji ya halaiki" yanayoendelea Gaza.

  • Israel yamjibu Macron: Kutambuliwa Palestina kutasalia kwenye karatasi tu

    Israel yamjibu Macron: Kutambuliwa Palestina kutasalia kwenye karatasi tu

    May 31, 2025 02:22

    Waziri wa Vita wa Israel, Israel Katz amemsuta na kumkejeli Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, ambaye alisema mapema jana kwamba, kutambuliwa kwa taifa la Palestina, kwa masharti, ni "wajibu wa kimaadili."

  • Kwa nini vikosi vya usalama vya Ufaransa vimefukuzwa Algeria?

    Kwa nini vikosi vya usalama vya Ufaransa vimefukuzwa Algeria?

    May 13, 2025 03:02

    Sambamba na kuongezeka mvutano kati ya Algeria na Ufaransa, serikali ya Algiers imechukua uamuzi wa kuwafukuza maafisa wawili wa kiintelijensia wa Ufaransa waliokuwa na pasipoti za kidiplomasia.

  • Majibu ya Tehran kwa Shutuma za Uongo za Ufaransa Kuhusu Mpango wa Nyuklia wa Amani wa Iran

    Majibu ya Tehran kwa Shutuma za Uongo za Ufaransa Kuhusu Mpango wa Nyuklia wa Amani wa Iran

    May 01, 2025 02:18

    Mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa, Amir Saeed Iravani, amewatumia barua Rais wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, akielezea kuwa madai ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa kwamba Iran iko "katika hatua ya mwisho" ya kuzalisha silaha za nyuklia ni yasiyo na msingi na kisiasa ni hatua isiyo ya uwajibikaji. Iran haijawahi kuwa na nia ya kutafuta silaha za nyuklia na haijabadilisha sera yake ya ulinzi.

  • Hata UK, Ujerumani na Ufaransa nazo pia zalaani hatua ya Israel ya kuzuia misaada isiingizwe Ghaza

    Hata UK, Ujerumani na Ufaransa nazo pia zalaani hatua ya Israel ya kuzuia misaada isiingizwe Ghaza

    Apr 24, 2025 04:12

    Ufaransa, Ujerumani na Uingereza nazo pia zimelaani hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuendelea kuzuia kikamilifu misaada ya kibinadamu isiingizwe katika Ukanda wa Ghaza, na kutoa wito wa kuanzishwa mara moja utoaji misaada bila vizuizi sambamba na juhudi mpya za kusitisha mapigano.

  • Kushadidi mivutano ya kisiasa baina ya Ufaransa na utawala wa Kizayuni

    Kushadidi mivutano ya kisiasa baina ya Ufaransa na utawala wa Kizayuni

    Apr 23, 2025 02:08

    Utawala wa Israel umefuta viza za wabunge na maafisa 27 wa Ufaransa wa mrengo wa kushoto siku mbili kabla ya safari yao ya kuelekea Palestina inayokaliwa kwa mabavu iliyopewa jina bandia la Israel.

  • Kufukuzwa wanadiplomasia; Je, kwa mara nyingine Algeria imeasi dhidi ya Ufaransa?

    Kufukuzwa wanadiplomasia; Je, kwa mara nyingine Algeria imeasi dhidi ya Ufaransa?

    Apr 20, 2025 02:25

    Huku mvutano ukishadidi katika uhusiano wa kisiasa kati ya Ufaransa na Algeria, nchi hizo mbili zimewafukuza wanadiplomasia kadhaa kutoka katika nchi zao.

  • Iran: Ufaransa itoe maelezo ya kukamatwa Muirani, mtetezi wa Palestina

    Iran: Ufaransa itoe maelezo ya kukamatwa Muirani, mtetezi wa Palestina

    Apr 15, 2025 03:15

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa vikali kitendo cha Ufaransa cha kukataa kutoa maelezo ya kukamatwa Mahdieh Esfandiari, raia wa Iran anayeishi katika mji wa Lyon, kaskazini mwa magharibi mwa Ufaransa, zaidi ya mwezi mmoja baada kutiwa kwake mbaroni na vyombo vya usalama vya nchi hiyo ya Ulaya.

  • Algeria yawapa wanadiplomasia wa Ufaransa saa 48 waondoke nchini humo

    Algeria yawapa wanadiplomasia wa Ufaransa saa 48 waondoke nchini humo

    Apr 14, 2025 13:09

    Mvutano wa kidiplomasia kati ya Algeria na Ufaransa umezidi kupamba moto huku serikali ya Algiers ikiwataka wanadiplomasia 12 wa mkoloni huyo wa zamani wa Ulaya kuondoka nchini humo ndani ya saa 48.

  • National Interest: Mji wa makombora wa Iran unaonyesha nguvu ya nchi hiyo

    National Interest: Mji wa makombora wa Iran unaonyesha nguvu ya nchi hiyo

    Apr 01, 2025 02:46

    Gazeti la Marekani la National Interest limeuchambua mji mpya wa makombora wa Iran na kusisitiza kwamba, kufichuliwa mji huo huku hali ya wasiwasi ikiongezeka katika Bahari Nyekundu na Asia Magharibi, ni ujumbe kwa Marekani na maadui wa Iran.National Interest imekiri katika ripoti yake kwamba hifadhi ya makombora ya Iran imeongezeka kwa kiasi kikubwa katika muongo mmoja uliopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS