Baada ya mabishano mengi na ruhusa iliyotolewa na mahakama ya kiidara ya Ufaransa, maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi na chuki dhidi ya Uislamu yamefanyika huko Paris, mji mkuu wa nchi hiyo.
Mkutano wa pande tatu wa mawaziri wa mambo ya nje wa Misri, Jordan na Ufaransa ulifanyika Jumamosi Cairo, mji mkuu wa Misri, kuhusiana na matukio ya hivi karibuni katika vita vya Gaza na mashauriano ya kusitisha mapigano hayo.
Wizara ya Mambo ya Nje ya Bolivia ametoa wito wa kufunguliwa mashtaka Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ).
Amir wa Qatar amesisitiza kuwa kuna ulazima wa kusitishwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza.
Kuongezeka chuki katika ngazi za kisiasa na kijamii dhidi ya wanawake Waislamu hasa wanaovalia hijabu na niqabu nchini Ufaransa kumepelekea idadi kubwa ya wanawake hao waihame nchi hiyo ya Ulaya.
Ujumbe wa Bunge la Ufaransa umetangaza kuwa, Israel sio tu kwamba inataka kuiangamiza Hamas, bali pia kuwaangamiza wakazi wote wa Ukanda wa Gaza huko Palestina.
Rais Joe Biden wa Marekani ameboronga tena kwa kumchukulia Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron kuwa ni rais wa zamani wa nchi hiyo marehemu Francois Mitterrand, alipokuwa akielezea yaliyojiri katika mkutano wa 2021 wa G7 wakati wa kampeni za uchaguzi mwishoni mwa juma.
Rais wa Ukraine amekiri kuwa jeshi la nchi hiyo ni dhaifu mkabala wa Russia na kusema: Ulaya peke yake haiwezi kuisaidia Ukraine dhidi ya Russia bila uungaji mkono wa Marekani.
Serikali ya Ufaransa imekataa kusaini taarifa ya kuunga mkono mashambulizi ya anga ya Marekani na Uingereza dhidi ya Yemen, na kusisitiza kuwa haitashiriki katika hujuma hizo eti za kulinda safari za meli katika Bahari Nyekundu.
Waziri Mkuu mpya wa Ufaransa Gabriel Attal ambaye ni 'shoga' amemteua 'mume wake shoga' Stephane Sejourne kuwa waziri wa mambo ya nje, siku chache tu baada ya yeye kuwa shoga wa kwanza aliyejinadi hadharani kushikilia wadhifa wa uwaziri mkuu wa nchi hiyo.