-
Makamu wa Rais Nigeria: Serikali iliyopita ya Rais Jonathan iliiba dola bilioni 15
May 04, 2016 09:59Makamu wa Rais wa Nigeria amesema takriban dola bilioni 15 za Marekani ziliibwa katika biashara haramu za silaha chini ya serikali iliyopita ya Rais Goodluck Jonathan.
-
Malema: Tuko tayari kupindua serikali ya Zuma hata kwa silaha
Apr 24, 2016 03:12Kinara wa upinzani nchini Afrika Kusini ameonya kuwa, wapinzani wako tayari kuipindua serikali ya Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo hata kwa mtutu wa bunduki.