Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Wakimbizi kutoka Afghanistan waanza kuwasili Uganda

    Wakimbizi kutoka Afghanistan waanza kuwasili Uganda

    Aug 25, 2021 12:57

    Kundi la kwanza la makumi ya wakimbizi kutoka Afghanistan limewasili nchini Uganda.

  • Uganda yasimamisha shughuli za asasi 54 zisizo za kiserikali

    Uganda yasimamisha shughuli za asasi 54 zisizo za kiserikali

    Aug 21, 2021 02:27

    Serikali ya Uganda imesimamisha shughuli za makumi ya asasi za kirai yakiwemo mashirika ya kutetea haki za binadamu.

  • Chama tawala Uganda chakanusha madai ya kutaka kuingilia uchaguzi wa Kenya

    Chama tawala Uganda chakanusha madai ya kutaka kuingilia uchaguzi wa Kenya

    Aug 08, 2021 07:58

    Chama tawala nchini Uganda cha National Resistance Movement (NRM) kinachoongozwa na Rais Yoweri Museveni kimekishutumu vikali chama kikuu cha upinzani nchini Kenya ODM kinachoongozwa na Raila Odinga, kwa kudai kuwa kinalenga kushirikiana na Naibu Rais William Ruto kuibua machafuko ya uchaguzi nchini humo.

  • Watu waghadhibika mno Uganda baada ya wabunge kupatiwa yuro milioni 25 kununulia magari mapya

    Watu waghadhibika mno Uganda baada ya wabunge kupatiwa yuro milioni 25 kununulia magari mapya

    Jul 25, 2021 07:30

    Wananchi wa Uganda wameghadhibishwa mno na hatua ya serikali ya kuwapatia wabunge kitita cha yuro milioni 25 kununulia magari mapya ya kifakhari katika nchi hiyo masikini ambayo hivi sasa inahiliki kutokana na janga la dunia nzima la ugonjwa wa Covid-19.

  • Wataalamu wathibitisha raia zaidi ya 800 wa Uganda 'wamedungwa' maji wakiambiwa ni chanjo ya Covid-19

    Wataalamu wathibitisha raia zaidi ya 800 wa Uganda 'wamedungwa' maji wakiambiwa ni chanjo ya Covid-19

    Jul 21, 2021 07:53

    Mamlaka za serikali ya Uganda zimesema, watu zaidi 800 na idadi kadhaa ya wateja wa makampuni tofauti katika eneo la jiji la Kampala wamedungwa chanjo bandia ya Covid-19.

  • Rais wa Uganda ataka kuimarisha uhusiano wa nchi yake na serikali mpya ya Iran

    Rais wa Uganda ataka kuimarisha uhusiano wa nchi yake na serikali mpya ya Iran

    Jul 04, 2021 13:34

    Rais wa Uganda amemtumia ujumbe Rais mteule wa Iran, Sayyid Ebrahim Raeisi akimpongeza kwa kuchaguliwa kuwa Rais mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran; huku akieleza kuwa Kampala ipo tayari kuimarisha uhusiano wake na serikali ijayo ya Tehran.

  • Uganda yaidhinisha matumizi ya dawa ya asili 'kutibu Corona'

    Uganda yaidhinisha matumizi ya dawa ya asili 'kutibu Corona'

    Jun 30, 2021 02:27

    Serikali ya Uganda imeidhinisha matumizi ya dawa ya mitishamba ya 'Covidex' kwa ajili ya kutibu magonjwa yanayosababishwa na virusi ukiwemo ugonjwa wa Covid-19.

  • Mamia ya wakimbizi wa Kongo DR wamiminika Uganda

    Mamia ya wakimbizi wa Kongo DR wamiminika Uganda

    Jun 17, 2021 02:29

    Wakimbizi karibu elfu moja raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamewasili nchini Uganda katika kipindi cha siku chache zilizopita.

  • Shule zafungwa Uganda baada ya Museveni kupiga marufuku mikusanyiko siku 42 kutokana na ungozeko la corona

    Shule zafungwa Uganda baada ya Museveni kupiga marufuku mikusanyiko siku 42 kutokana na ungozeko la corona

    Jun 07, 2021 13:09

    Shule na taasisi za elimu zimefungwa kote nchini Uganda na idadi kubwa ya wanafunzi ilionekana leo katika vituo vya usafiri vya miji mikubwa ya Uganda wakijitayarisha kurudi makwao baada ya Rais Yoweri Museveni wa nchi hiyo kupiga marufuku mikusanyiko yote kwa kipindi cha siku 42 kutokana na ongezeko kubwa la maambukizi ya virusi vya corona.

  • Bobi Wine: Jamii ya kimataifa inathamini zaidi biashara kuliko maadili, haki za binadamu

    Bobi Wine: Jamii ya kimataifa inathamini zaidi biashara kuliko maadili, haki za binadamu

    Jun 05, 2021 02:31

    Kiongozi wa upinzani wa Uganda Robert Kyagulanyi Sentamu maarufu kwa jina la Bobi Wine amesema hali ya haki za binadamu nchini Uganda imekuwa mbaya zaidi tangu baada ya uchaguzi wa Januari 14 mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS