Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Watu kadhaa wahofiwa kufa katika mlipuko wa bomu Kampala

    Watu kadhaa wahofiwa kufa katika mlipuko wa bomu Kampala

    Oct 24, 2021 03:17

    Watu asiopungua watatu wanahofiwa kuaga dunia na karibu saba wamejeruhiwa vibaya katika mlipuko wa bomu uliotokea usiku wa kuamkia leo katika eneo ya Komamboga Jijini Kampala kwenye eneo la kuuzia nguruwe, Tarafa ya Kawempe.

  • Askari wa Uganda kushtakiwa kwenye mahakama ya kijeshi kwa kuua raia Somalia

    Askari wa Uganda kushtakiwa kwenye mahakama ya kijeshi kwa kuua raia Somalia

    Oct 23, 2021 04:19

    Mpango wa Umoja wa Afrika wa kulinda amani nchini Somalia AMISOM umeshauri mahakama ya kijeshi ya Uganda iwafungulie mashtaka askari wa nchi hiyo wanaohudumu katika mpango huo, ambao wamehusishwa na mauaji ya raia nchini Somalia.

  • Uganda kutuma askari polisi 160 wa kulinda amani Somalia

    Uganda kutuma askari polisi 160 wa kulinda amani Somalia

    Oct 15, 2021 00:50

    Uganda inajiandaa kutuma maafisa wa polisi wapatao 160 nchini Somalia, kwenda kushiriki operesheni za kudumisha amani katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Wakimbizi kutoka Afghanistan waanza kuwasili Uganda

    Wakimbizi kutoka Afghanistan waanza kuwasili Uganda

    Aug 25, 2021 08:27

    Kundi la kwanza la makumi ya wakimbizi kutoka Afghanistan limewasili nchini Uganda.

  • Uganda yasimamisha shughuli za asasi 54 zisizo za kiserikali

    Uganda yasimamisha shughuli za asasi 54 zisizo za kiserikali

    Aug 20, 2021 21:57

    Serikali ya Uganda imesimamisha shughuli za makumi ya asasi za kirai yakiwemo mashirika ya kutetea haki za binadamu.

  • Chama tawala Uganda chakanusha madai ya kutaka kuingilia uchaguzi wa Kenya

    Chama tawala Uganda chakanusha madai ya kutaka kuingilia uchaguzi wa Kenya

    Aug 08, 2021 03:28

    Chama tawala nchini Uganda cha National Resistance Movement (NRM) kinachoongozwa na Rais Yoweri Museveni kimekishutumu vikali chama kikuu cha upinzani nchini Kenya ODM kinachoongozwa na Raila Odinga, kwa kudai kuwa kinalenga kushirikiana na Naibu Rais William Ruto kuibua machafuko ya uchaguzi nchini humo.

  • Watu waghadhibika mno Uganda baada ya wabunge kupatiwa yuro milioni 25 kununulia magari mapya

    Watu waghadhibika mno Uganda baada ya wabunge kupatiwa yuro milioni 25 kununulia magari mapya

    Jul 25, 2021 03:00

    Wananchi wa Uganda wameghadhibishwa mno na hatua ya serikali ya kuwapatia wabunge kitita cha yuro milioni 25 kununulia magari mapya ya kifakhari katika nchi hiyo masikini ambayo hivi sasa inahiliki kutokana na janga la dunia nzima la ugonjwa wa Covid-19.

  • Wataalamu wathibitisha raia zaidi ya 800 wa Uganda 'wamedungwa' maji wakiambiwa ni chanjo ya Covid-19

    Wataalamu wathibitisha raia zaidi ya 800 wa Uganda 'wamedungwa' maji wakiambiwa ni chanjo ya Covid-19

    Jul 21, 2021 03:23

    Mamlaka za serikali ya Uganda zimesema, watu zaidi 800 na idadi kadhaa ya wateja wa makampuni tofauti katika eneo la jiji la Kampala wamedungwa chanjo bandia ya Covid-19.

  • Rais wa Uganda ataka kuimarisha uhusiano wa nchi yake na serikali mpya ya Iran

    Rais wa Uganda ataka kuimarisha uhusiano wa nchi yake na serikali mpya ya Iran

    Jul 04, 2021 09:04

    Rais wa Uganda amemtumia ujumbe Rais mteule wa Iran, Sayyid Ebrahim Raeisi akimpongeza kwa kuchaguliwa kuwa Rais mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran; huku akieleza kuwa Kampala ipo tayari kuimarisha uhusiano wake na serikali ijayo ya Tehran.

  • Uganda yaidhinisha matumizi ya dawa ya asili 'kutibu Corona'

    Uganda yaidhinisha matumizi ya dawa ya asili 'kutibu Corona'

    Jun 29, 2021 21:57

    Serikali ya Uganda imeidhinisha matumizi ya dawa ya mitishamba ya 'Covidex' kwa ajili ya kutibu magonjwa yanayosababishwa na virusi ukiwemo ugonjwa wa Covid-19.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS