Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugonjwa wa akili

  • Watoto wenye matatizo ya afya ya akili wazidi kuongezeka nchini Uingereza

    Watoto wenye matatizo ya afya ya akili wazidi kuongezeka nchini Uingereza

    Jan 24, 2025 06:57

    Idadi ya watoto wanaokabiliwa na matatizo ya afya ya akili nchini Uingereza inaripotiwa kuongezeka na kuibua wasiwasi mkubwa katika jamii ya hiyo ya bara Ulaya.

  • WHO: Mgogoro wa afya ya akili, ndilo janga 'lijalo' duniani

    WHO: Mgogoro wa afya ya akili, ndilo janga 'lijalo' duniani

    May 10, 2024 02:10

    Afisa mwandamizi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ametahadharisha kuwa, dunia ipo katika hatari ya kukumbwa na janga la matatizo ya afya ya akili.

  • Matatizo ya akili ya wanajeshi wa Marekani yaripotiwa kuongezeka baada ya kuondoka Afghanistan

    Matatizo ya akili ya wanajeshi wa Marekani yaripotiwa kuongezeka baada ya kuondoka Afghanistan

    Sep 03, 2021 08:09

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imetangaza kuwa, imechukua uamuzi wa kuzidisha huduma za tiba ya matatizo ya akili ya wanajeshi wa nchi hiyo kutokana na kuongezeka hisi ya kukosa matumaini na magonjwa ya kinafsi na kiakili ya wananjeshi hao yanayosababishwa na kushindwa kijeshi huko Afghanistan.

  • WHO: Watu Milioni 50 wanaugua ugonjwa wa kusahau duniani

    WHO: Watu Milioni 50 wanaugua ugonjwa wa kusahau duniani

    May 15, 2019 03:41

    Shirika la Afya Duniani WHO limesema watu takriban milioni 50 kote ulimwenguni wanaugua ugonjwa wa kusahau (Dementia) huku idadi hii ikitabiriwa kuongezeka mara tatu ifikapo mwaka 2050.

  • Maradhi ya kisaikolojia yaongezeka kati ya Wazayuni kutokana na ngoma ya vita ya Netanyahu

    Maradhi ya kisaikolojia yaongezeka kati ya Wazayuni kutokana na ngoma ya vita ya Netanyahu

    May 09, 2019 04:27

    Kanali ya 12 ya utawala Kizayuni wa Israel imekiri kwamba kutokana na vita vya hivi karibuni, maradhi ya kisaikolojia na kiroho yameongezeka kati ya walowezi wa Kizayuni na kwamba sasa wanatibiwa kwa njia ya mazungumzo ya video.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS