-
Zarif: Uwepo wa vikosi ajinabi Mashariki ya Kati unashadidisha matatizo
Oct 15, 2020 00:52Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa uwepo wa wanajeshi ajinabi katika eneo la Mashariki ya Kati ni tete na unashadidisha matatizo mbalimbali. Muhammad Javad Zarif ameyasema hayo katika mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan.