-
OIC yataka kusitishwa ujenzi wa vitongozi vya walowezi wa Kizayuni
Aug 29, 2018 07:46Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetoa wito wa kusitishwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika maeneo ya Wapalestina.
-
China: Israel ikomeshe ujenzi wa vitongoji vya walowezi katika ardhi za Wapalestina
Jul 26, 2018 14:17Mwakilishi wa China katika Umoja wa Mataifa ameutaka utawala haramu wa Israel uheshimu mikataba ya kimataifa na kukomesha ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Wapalestina.