-
Bunge la Brussels: Vita vya Israel dhidi ya Gaza ni mauaji ya kimbari
Feb 05, 2025 12:28Katika hatua kubwa kwa harakati za kupigania haki za wananchi wa Palestina, Bunge la Brussels limepasisha azimio la kutambua rasmi vitendo vinavyofanywa na jeshi la Israel huko Gaza kuwa ni mauaji ya kimbari, na kutaka kuwekewa vikwazo utawala huo wa Kizayuni.
-
Corbyn: Israel inabeba dhima ya kuuawa Wapalestina ' 61,709' Gaza
Feb 05, 2025 02:41Kiongozi wa zamani wa Chama cha Leba nchini Uingereza, Jeremy Corbyn ameubebesha dhima utawala haramu wa Israel na wale ambao wanaendelea kuupelekea silaha utawala huo wa Kizayuni, kwa mauaji ya kimbari huko Palestina.
-
Marekani yasimamisha misaada mipya ya fedha nje ya nchi, Israel na Misri hazimo
Jan 25, 2025 06:12Serikali mpya ya Marekani imetangaza kuwa inasitisha takribani ufadhili wote mpya wa msaada wa fedha wa nje ya nchi isipokuwa kwa washirika wake wawili ambao ni utawala wa Kizayuni wa Israel na Misri. Haijafahamika wazi kama uamuzi huo utaihusu pia Ukraine au la.
-
AU na nchi kadhaa za kikanda zakaribisha usitishaji vita Gaza
Jan 17, 2025 13:56Nchi kadhaa za Kiafrika na Umoja wa Afrika (AU) zimekaribisha makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas).
-
Papa Francis: Mashambulizi ya anga ya Israel Ukanda wa Gaza ni ya kikatili
Dec 22, 2024 03:37Kiongozi wa Wakatoliki duniani Papa Francis, amelaani mashambulizi ya anga ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza na kuyataja kuwa ni kitendo cha kikatili.
-
UN: 70% ya wahanga wa ukatili wa Israel Gaza ni watoto, wanawake
Nov 09, 2024 03:20Umoja wa Mataifa umeripoti kuwa, wanawake na watoto wanaunda asilimia kubwa ya vifo na majeruhi wa mashambulizi ya kinyama ya Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Wizara: Israel imeua wanafunzi karibu 12,000 tangu Oktoba 2023
Oct 30, 2024 03:29Wizara ya Elimu katika Ukanda wa Gaza imesema utawala wa Kizayuni wa Israel umewaua wanafunzi zaidi ya 11,852 katika eneo hilo lililozingirwa la Palestina, tangu Oktoba mwaka jana 2023.
-
Ripota wa UN: Mauaji ya kimbari ya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza ni "aibu ya pamoja ya karne"
Oct 21, 2024 11:35Ripota Maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya haki za binadamu katika maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu ameyataja mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza kuwa ni "aibu ya pamoja ya karne" huku jamii ya kimataifa ikishindwa kulinda haki za Wapalestina.
-
Rais wa Afrika Kusini aitaka dunia kuishinikiza Israel kusitisha mashambulizi huko Gaza, Lebanon
Oct 15, 2024 02:45Rais wa Afrika Kusini jana aliwataka vingozi wa nchi mbalimbali duniani kuushinikiza utawala wa Israel ili kusitisha mashambulizi yake katika Ukanda wa Gaza na Lebanon.
-
Wapalestina 28 wauawa shahidi katika mashambulizi ya Israel Gaza
Oct 11, 2024 11:18Makumi ya Wapalestina wameuawa shahidi huku makumi ya wengine wakijeruhiwa katika jinai mpya za jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.