Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukanda wa Ghaza

  • Hamas yaafiki pendekezo la US la kuondoka askari wote wa Israel Gaza

    Hamas yaafiki pendekezo la US la kuondoka askari wote wa Israel Gaza

    May 29, 2025 06:07

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema imefikia makubaliano na Mjumbe Maalum wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi, Steve Witkoff kuhusu "mfumo jumla" wa kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza.

  • Mauaji Gaza; Majaji, mawakili 800 wa UK wataka Israel ifukuzwe UN

    Mauaji Gaza; Majaji, mawakili 800 wa UK wataka Israel ifukuzwe UN

    May 28, 2025 06:47

    Kundi la mawakili waandamizi, majaji wa zamani na wasomi wengine zaidi ya 800 wa Uingereza wameitaka serikali ya London kuuwekea vikwazo utawala wa Israel, na kushinikiza kusimamishwa uanachama wa Tel Aviv katika Umoja wa Mataifa.

  • Balozi wa Colombia: Dunia isifumbie macho mateso ya watu wa Gaza

    Balozi wa Colombia: Dunia isifumbie macho mateso ya watu wa Gaza

    May 27, 2025 06:38

    Jorge Ivan Ospina, balozi mpya wa Colombia katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu amesema "ulimwengu haupaswi kuwafumbia macho" raia wa Palestina wanaoteseka huko Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan unaokaliwa kwa mabavu.

  • Iran yaitaka Vatican ichukue hatua za haraka kukomesha mauaji ya kimbari Gaza

    Iran yaitaka Vatican ichukue hatua za haraka kukomesha mauaji ya kimbari Gaza

    May 24, 2025 07:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, katika mkutano na maafisa wa Makao Makuu ya Kanisa Katoliki Duniani, Vatican huko mjini Rome, ametoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka za kimataifa kukomesha uhalifu unaoendelea kufanyika Gaza, na kuhakikisha misaada ya kibinadamu inafika katika eneo hilo lililozingirwa.

  • Hamas yapongeza mataifa 80 kwa kulaani jinai za Israel huko Gaza

    Hamas yapongeza mataifa 80 kwa kulaani jinai za Israel huko Gaza

    May 23, 2025 11:56

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imekaribisha kwa mikono miwili taarifa ya pamoja iliyotolewa na nchi 80 duniani, zikisisitiza kwamba Gaza inakabiliwa na mzozo mbaya zaidi wa kibinadamu tangu kuanza kwa vita vya Israel Oktoba 7 mwaka 2023.

  • Iran, Misri zataka kukomeshwa mashambulizi ya Israel huko Gaza

    Iran, Misri zataka kukomeshwa mashambulizi ya Israel huko Gaza

    May 14, 2025 02:46

    Wanadiplomasia wakuu wa Iran na Misri wamesisitiza kuwa kuna haja ya kukomeshwa mashambulizi ya utawla wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Israel yaendeleza ukatili Gaza, yaua shahidi Wapalestina wengine 33

    Israel yaendeleza ukatili Gaza, yaua shahidi Wapalestina wengine 33

    May 12, 2025 12:00

    Wapalestina wasiopungua 33 wameuawa shahidi katika muda wa saa 24 zilizopita huko Gaza, maafisa wa afya katika eneo hilo lililo chini ya mzingiro wameripoti.

  • Israel: Hatusitishi mashambulizi mpaka Wapalestina wafukuzwe Gaza; Syria igawanyishwe

    Israel: Hatusitishi mashambulizi mpaka Wapalestina wafukuzwe Gaza; Syria igawanyishwe

    Apr 30, 2025 10:19

    Waziri wa fedha mwenye misimamo ya kuchupa mipaka wa Israel, Bezalel Smotrich anasema utawala huo wa Kizayuni utasitisha tu uvamizi wake Gaza wakati "mamia ya maelfu" ya Wapalestina watalazimishwa kuyahama makazi yao; na Syria igawanyishwe vipande vipande.

  • Makumi ya wanawake, watoto wauawa na mabomu ya Wazayuni Gaza

    Makumi ya wanawake, watoto wauawa na mabomu ya Wazayuni Gaza

    Apr 16, 2025 14:51

    Mashambulizi makali ya anga ya utawala wa Kizayuni wa Israel yameua shahidi zaidi ya Wapalestina 20, wakiwemo wanawake na watoto wadogo katika Ukanda wa Gaza.

  • UN: Wapalestina 400,000 Gaza wamefurushwa makwao ndani ya wiki 3

    UN: Wapalestina 400,000 Gaza wamefurushwa makwao ndani ya wiki 3

    Apr 12, 2025 11:40

    Takwimu mpya za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa, idadi kubwa ya Wapalestina wamelazimika kuyahama makazi yao katika Ukanda wa Gaza tangu utawala haramu wa Israel uanzishe mashambulizi mapya baada ya kuvunja makubaliano ya usitishaji vita zaidi ya wiki tatu zilizopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS