- Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Vikosi vya ulinzi vya Iran ni mihimili imara mno ya taifa
- Bunge la EU ladhihirisha tena unafiki wa Magharibi kwa kulaani shambulio la kujibu mapigo la Iran dhidi ya Israel
- Afisa wa nne wa Wizara ya Mambo ya Nje ya US ajiuzulu kupinga sera kuhusiana na vita vya Ghaza
- Mvua kali zabomoa ukuta mbovu wa jela Nigeria na kuwezesha wafungwa zaidi ya 100 kutoroka
Chaguo La Mhariri
-
Kikao cha Pili cha Kimataifa cha Iran na Afrika; nembo ya azma ya kupanua ushirikiano6 hours ago
-
Marekani yashadidisha ukandamizaji dhidi ya wapinzani wa utawala wa Kizayuni na waungaji mkono wa Palestina
-
Ushauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi kuhusu kutumia vikwazo kama fursa ya maendeleo
-
UN: Ufanyike uchunguzi kuhusu makaburi ya halaiki huko Gaza + Video3 days ago
-
Rais wa Iran awasili Pakistan katika ziara ya kuimarisha uhusiano wa kibiashara na usalama5 days ago
-
Waziri wa Israel: Mashambulizi ya Iran yameharibu kambi mbili kuu za jeshi; akejeli taarifa za Israel kushambulia Iran + Video7 days ago
-
PressTV: Makombora yote ya hypersonic yaliyotumiwa na Iran dhidi ya Israel yalilenga shabaha + Video11 days ago
-
Bunge la EU ladhihirisha tena unafiki wa Magharibi kwa kulaani shambulio la kujibu mapigo la Iran dhidi ya Israel
Bunge la Ulaya limedhihirisha tena sera za undumilakuwili za Magharibi kwa kupitisha azimio la kulaani shambulio la hivi karibuni la kujibu mapigo lililofanywa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kuzitolea wito nchi wanachama za umoja huo ziiwekee Tehran vikwazo vingine vipya na vikali zaidi.
-
Kikao cha Pili cha Kimataifa cha Iran na Afrika; nembo ya azma ya kupanua ushirikiano
Kikao cha pili cha kimataifa kati ya Iran na Afrika kimefanyika leo asubuhi (Ijumaa) kwa kuhudhuriwa na maafisa wa ngazi za juu wa masuala ya kiuchumi wa nchi zaidi ya 30 za Afrika na kwa hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika ukumbi wa mikutano wa nchi za Kiislamu mjini Tehran.
-
Vikosi vya Yemen vyashambulia meli ya Israel, Bandari ya Eilat kuonyesha mshikamano na Gaza
Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen vimefanikiwa kulenga meli ya utawala wa Israel katika Ghuba ya Aden pamoja na Bandari ya Eilat katika sehemu ya kusini ya maeneo yanayokaliwa kwa mabavu (Israel) katika operesheni mpya zinazoiunga mkono Palestina.
-
Rais Samia ataka ‘waliodumisha Muungano wa Tanzania waendelee kuenziwa'
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania waendelee kuwaenzi na kudumisha maono ya waasisi wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mwl. Julius Nyerere na Mzee Abeid Amani Karume pamoja na viongozi waliofuatia baada yao, kutokana na juhudi zao za kuujenga na kuudumisha Muungano huo.
Kikao cha Pili cha Kimataifa cha Iran na Afrika; nembo ya azma ya kupanua ushirikiano
Kikao cha pili cha kimataifa kati ya Iran na Afrika kimefanyika leo asubuhi (Ijumaa) kwa kuhudhuriwa na maafisa wa ngazi za juu wa masuala ya kiuchumi wa nchi zaidi ya 30 za Afrika na kwa hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika ukumbi wa mikutano wa nchi za Kiislamu mjini Tehran.
Marekani yashadidisha ukandamizaji dhidi ya wapinzani wa utawala wa Kizayuni na waungaji mkono wa Palestina
Marekani ndiyo muungaji mkono mkubwa zaidi wa utawala wa Kizayuni wa Israel ambapo serikali ya Biden imetoa msaada mkubwa zaidi wa kijeshi na silaha kwa Tel Aviv wakati wa vita vya Gaza, ambavyo vimeingia katika mwezi wake wa saba.
Ushauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi kuhusu kutumia vikwazo kama fursa ya maendeleo
Akiashiria nafasi muhimu ya jumuiya ya wafanyakazi katika kuongeza uzalishaji na kuboresha hali ya kiuchumi ya Iran, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameyataja maendeleo ya Jamhuri ya Kiislamu katika sekta mbalimbali hususan silaha kuwa ni mfano wa kugeuza vikwazo kuwa fursa.
Kuiwekea vikwazo sekta ya ulinzi ya Iran, zawadi mpya iliyotunukiwa Israel na Magharibi
Katika hatua uliyochukua ili kuufurahisha utawala wa Kizayuni wa Israel, Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa utapanua wigo wa vikwazo ulivyoiwekea sekta ya ulinzi ya Iran.
Zilizotembelewa Zaidi
-
Maandamano dhidi ya Netanyahu yageuka kuwa ya ghasia
-
Vikosi vya Yemen vyashambulia meli ya Israel, Bandari ya Eilat kuonyesha mshikamano na Gaza
-
Kuiwekea vikwazo sekta ya ulinzi ya Iran, zawadi mpya iliyotunukiwa Israel na Magharibi
-
Afisa wa nne wa Wizara ya Mambo ya Nje ya US ajiuzulu kupinga sera kuhusiana na vita vya Ghaza
-
Umaarufu wa Marekani barani Afrika waporomoka, China na Russia zavutia Waafrika wengi
-
Bunge la EU ladhihirisha tena unafiki wa Magharibi kwa kulaani shambulio la kujibu mapigo la Iran dhidi ya Israel
-
Jamaica yatambua rasmi taifa la Palestina
-
Majaliwa: Takriban watu 155 wamefariki dunia nchini Tanzania kutokana na mafuriko
-
Iran inatoa wito kwa BRICS kuchukua jukumu kukomesha jinai za Israel
-
Mvua kali zabomoa ukuta mbovu wa jela Nigeria na kuwezesha wafungwa zaidi ya 100 kutoroka