Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukraine

  • Marekani na waitifaki wake wa Ulaya wanatafuta njia ya kuhitimisha vita vya Ukraine kidiplomasia

    Marekani na waitifaki wake wa Ulaya wanatafuta njia ya kuhitimisha vita vya Ukraine kidiplomasia

    Jul 09, 2022 22:18

    Gazeti la Kijerumani la Die Welt limeripoti kuwa, Marekani na waitifaki wakuu wa Magharibi wanafanya mazungumzo kwa siri ili kutafuta njia za kidiplomasia za kuhitimisha vita na mapigano nchini Ukraine.

  • Russia yaharibu mifumo ya makombora ya Marekani nchini Ukraine

    Russia yaharibu mifumo ya makombora ya Marekani nchini Ukraine

    Jul 07, 2022 03:26

    Jeshi la Russia limetangaza habari ya kusambaratisha mifumo miwili ya makombora aina ya HIMARS ya Marekani mashariki mwa Ukraine.

  • Waziri wa Ulinzi wa Russia: Magharibi imeipatia Ukraine tani 28,000 za silaha

    Waziri wa Ulinzi wa Russia: Magharibi imeipatia Ukraine tani 28,000 za silaha

    Jul 06, 2022 01:23

    Waziri wa Ulinzi wa Russia amesema kuwa, nchi za Magharibi zinaendelea kutuma silaha nchini Ukraine kwa kisingizio cha kurefusha vita na hadi sasa zimepeleka zaidi ya tani elfu 28 za silaha huko Ukraine.

  • Jeshi la Russia lakomboa Donbass, askari wa Ukraine watimuliwa kikamilifu

    Jeshi la Russia lakomboa Donbass, askari wa Ukraine watimuliwa kikamilifu

    Jul 03, 2022 06:50

    Jeshi la Russia limetangaza mafanikio makubwa ya kuwatimua askari wa Ukraine kutoka Jamhuri ya Watu wa Luhansk, eneo ambalo limetangaza kujitenga na Ukraine.

  • Mbunge Marekani alaani nchi hiyo kujiingiza katika vita Ukraine kuvuna faida

    Mbunge Marekani alaani nchi hiyo kujiingiza katika vita Ukraine kuvuna faida

    Jul 03, 2022 03:23

    Mjumbe mwanamke wa chama cha Republican katika Kongresi ya Marekani amekosoa vikali hatua ya Washington ya kuipa Ukraine msaada mkubwa wa kijeshi na kuisaidia nchi hiyo katika kile alichokiita vita vya niaba dhidi ya Russia.

  • Iran iko tayari kusaidia utatuzi wa kidiplomasia wa mzozo wa Ukraine

    Iran iko tayari kusaidia utatuzi wa kidiplomasia wa mzozo wa Ukraine

    Jul 01, 2022 05:43

    Iran imesisitiza dhamira yake ya kuchangia katika utatuzi wa kidiplomasia wa mzozo unaotokota nchini Ukraine, ambao sasa unaingia mwezi wa tano.

  • Sputnik: Marekani inawasajili magaidi wa Daesh ili kuwatuma Ukraine

    Sputnik: Marekani inawasajili magaidi wa Daesh ili kuwatuma Ukraine

    Jun 30, 2022 20:33

    Shirika la habari la Sputnik limeripoti kuwa, Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) linawasajili magaidi wa Daesh (ISIS) ili wapelekwe Ukraine kwa kisingizio cha vita nchini humo.

  • Putin kufanya safari ya kwanza nje ya nchi tangu Russia ilipoanzisha vita dhidi ya Ukraine

    Putin kufanya safari ya kwanza nje ya nchi tangu Russia ilipoanzisha vita dhidi ya Ukraine

    Jun 27, 2022 03:13

    Vyombo vya habari vya Russia vimetangaza kuwa rais Vladimir Putin wa nchi hiyo atafanya safari ya kwanza nje ya nchi tangu vilipoanza vita nchini Ukraine kwa kutembelea nchi mbili za eneo la Asia ya Kati.

  • New York Times yafichua shughuli za siri za CIA na kikosi maalumu cha Marekani  Ukraine

    New York Times yafichua shughuli za siri za CIA na kikosi maalumu cha Marekani Ukraine

    Jun 26, 2022 23:28

    Gazeti la New York Times linalochapishwa nchini Marekani limefichua kuhusu harakati za siri zinazofanywa na Shirika la Kijasusi la Marekani (CIA) na kikosi maalumu cha wanajeshi wa nchi hiyo huko Ukraine.

  • UN: Zaidi ya watu milioni 7 wamekuwa wakimbizi nje ya Ukraine mbali na wakimbizi wa ndani

    UN: Zaidi ya watu milioni 7 wamekuwa wakimbizi nje ya Ukraine mbali na wakimbizi wa ndani

    Jun 20, 2022 07:22

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, vita vya Ukraine ni moja ya sababu za ongezeko la wakimbizi ulimwenguni na kwamba hadi hivi sasa mamilioni ya watu wameshakuwa wakimbizi kutokana na vita hivyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS