Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN: Mzingiro wa Israel dhidi ya watu wa Gaza unakiuka sheria za kimataifa

    UN: Mzingiro wa Israel dhidi ya watu wa Gaza unakiuka sheria za kimataifa

    Aug 01, 2021 05:18

    Ripota Maalumu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa huko Palestina amesema kuwa nzingiro wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza unakiuka sheria za kimataifa.

  • Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu kuenea ugaidi barani Afrika

    Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu kuenea ugaidi barani Afrika

    Jul 25, 2021 03:56

    Katika ripoti yao mpya, wataalamu wa Umoja wa Mataifa wanasema kuwa bara la Afrika limekuwa muhanga mkuu wa ugaidi katika nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2021 kutokana na kuenea makundi ya kigaidi kama Daesh na al-Qaida na makund mengine yaliyo chini ya udhibiti na ushawishi wa makundi hayo mawili.

  • Mkuu wa zamani wa haki za binadamu wa UN kuongoza uchunguzi wa jinai za Israel

    Mkuu wa zamani wa haki za binadamu wa UN kuongoza uchunguzi wa jinai za Israel

    Jul 23, 2021 03:22

    Baraza la Haki za Binadamu limemteua Navi Pillay, aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa kuongoza kamati ya kimataifa ya watu watatu ya kuchunguza jinai za kivita za hivi karibuni za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • OCHA yatoa indhari: Idhini ya UN ya ufikishaji misaada ikisitishwa maisha ya Wasyria yatakuwa hatarini

    OCHA yatoa indhari: Idhini ya UN ya ufikishaji misaada ikisitishwa maisha ya Wasyria yatakuwa hatarini

    Jul 08, 2021 23:10

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya uratibu wa misaada ya kibinadamu, OCHA, imetahadharisha kuwa ifikapo tarehe 10 mwezi huu wa Julai, endapo muda wa idhini ya Baraza la Usalama la UN ya kufikisha misaada ya kibinadamu kwa wananchi wa Syria hautarefushwa, mateso ya raia hao yataongezeka kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa katika kipindi cha miaka 10 ya mgogoro wa nchi hiyo.

  • UN yatahadharisha juu ya mabavu na ukandamizaji  mkubwa dhidi ya watoto

    UN yatahadharisha juu ya mabavu na ukandamizaji mkubwa dhidi ya watoto

    Jun 23, 2021 23:18

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu vitendo vya mabavu na ukandamizaji mkubwa wanaofanyiwa watoto katika mapigano na mizozo ya kijeshi na wakati huu wa janga la corona.

  • Hamas: Guterres amebariki jinai dhidi ya watoto wa Palestina

    Hamas: Guterres amebariki jinai dhidi ya watoto wa Palestina

    Jun 19, 2021 22:57

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetangaza kuwa, hatua ya Umoja wa Mataifa ya kutoliweka jina la utawala wa Kizayuni wa Israel katika orodha ya wakiukaji wa haki za watoto ni sawa na kubariki jinai zinazofanywa na utawala huo.

  • UN: Watu milioni 41 wako katika hatari ya janga la ukame duniani

    UN: Watu milioni 41 wako katika hatari ya janga la ukame duniani

    Jun 19, 2021 21:51

    Mpango wa Chakula Duniani WFP ambao uko chini ya Umoja wa Mataifa umesema kuwa, tangu mwanzoni mwa mwaka huu hadi hivi sasa idadi ya watu waliokaribia kukumbwa na janga la ukame imeongezeka kutoka milioni 34 hadi milioni 41 katika pembe mbalimbali za dunia.

  • UN: Watu milioni moja huko Myanmar wana hali mbaya

    UN: Watu milioni moja huko Myanmar wana hali mbaya

    Jun 17, 2021 08:12

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa watu milioni moja wana hali mbaya huko Myanmar na wanahitaji misaada ya haraka ya kimataifa.

  • UN yakosoa mienendo ya vikosi vya usalama vya Jamhuri ya Afrika ya Kati

    UN yakosoa mienendo ya vikosi vya usalama vya Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jun 17, 2021 02:21

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewakosoa vikali maafisa usalama wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, kwa kile alichokitaja kuwa kushtadi mienendo ya kiuhasama na vitisho dhidi ya askari wa kulinda amani wa umoja huo nchini humo.

  • Mahakama ya UN yashikilia hukumu dhidi ya Mladic, aliyeua Waislamu 8,000 Bosnia

    Mahakama ya UN yashikilia hukumu dhidi ya Mladic, aliyeua Waislamu 8,000 Bosnia

    Jun 08, 2021 22:39

    Majaji wa Mahakama ya Jinai za Kivita ya Umoja wa Mataifa wamedumisha hukumu ya kifungo cha maisha jela dhidi ya Jenerali Ratko Mladic, aliyekuwa kamanda wa kijeshi wa Serbia, ambaye mwaka 2017 alipatikana na hatia ya kuagiza na kuongoza mauaji ya maelfu ya Waislamu huko Srebrenica mwaka 1995.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS