Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Israel yakataa pendekezo la UN la kusitisha mashambulizi dhidi ya Wapalestina

    Israel yakataa pendekezo la UN la kusitisha mashambulizi dhidi ya Wapalestina

    May 12, 2021 06:01

    Duru za Palestina zimeripoti kuwa, utawala haramu wa Israel umekataa pendekezo la mjumbe wa Umoja wa Mataifa la kusitisha mashambulizi mara moja dhidi ya watu wa Palestina.

  • UN: Kundi la Daesh lilifanya jitihada za kuangamiza Waislamu wa madhehebu ya Shia

    UN: Kundi la Daesh lilifanya jitihada za kuangamiza Waislamu wa madhehebu ya Shia

    May 11, 2021 20:17

    Mkuu wa timu ya Umoja wa Mataifa iliyopewa jukumu la kuchunguza jinai na uhalifu uliofanywa na kundi la kiwahabi la Daesh amesema kuwa, kundi hilo la kigaidi lilifanya jitihada za kuangamiza Waislamu wa madhehebu ya Shia.

  • UN: Kuna ongezeko la hatari kwa watoto nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati

    UN: Kuna ongezeko la hatari kwa watoto nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Apr 28, 2021 03:30

    Mwakilishi wa Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa, UNICEF, nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, amesema watoto 370,000 kwa sasa ni wakimbizi wa ndani nchini kote kwa sababu ya vurugu zinazoendelea na ukosefu wa usalama.

  • Guterres: Magufuli atakumbukwa kwa kurejesha maadili ya utumishi wa umma, kupambana na rushwa

    Guterres: Magufuli atakumbukwa kwa kurejesha maadili ya utumishi wa umma, kupambana na rushwa

    Apr 17, 2021 03:27

    Baadhi ya viongozi walioshiriki katika kikao cha 75 cha mkutano wa 59 wa Umoja wa Mataifa (UN) uliofanyika jana Ijumaa mjini New York wamebainisha alama za uongozi za rais wa awamu ya tano wa Tanzania, John Magufuli wakishauri kuendelezwa mema aliyoyatenda na kuahidi kushirikiana na Rais wa sasa wa nchi hiyo Samia Suluhu Hassan.

  • Raia 65,000 wahama makazi yao kaskazini mashariki ya Nigeria kukimbia mashambulio ya kundi la ISWAP

    Raia 65,000 wahama makazi yao kaskazini mashariki ya Nigeria kukimbia mashambulio ya kundi la ISWAP

    Apr 16, 2021 22:12

    Shirka la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR limeripoti kuwa, watu wasiopungua 65,000 wameuhama mji wa Damasak kaskazini mashariki ya Nigeria kufuatia mashambulio kadhaa ya kundi la wabeba silaha.

  • UN: Eritrea ikomeshe ukatili na mauaji Tigray

    UN: Eritrea ikomeshe ukatili na mauaji Tigray

    Apr 16, 2021 07:35

    Mratibu wa Masuala ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, askari wa Eritrea wanapaswa kukomesha ukatili na vitendo viovu katika eneo la Tigray nchini Ethiopia na kuondoka mara moja katika eneo hilo.

  • Zarif: Kukishambulia kituo cha nyuklia cha Iran ni jinai ya kivita

    Zarif: Kukishambulia kituo cha nyuklia cha Iran ni jinai ya kivita

    Apr 13, 2021 02:26

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kitendo cha Jumapili alfajiri cha kushambuliwa kwa makusudi mfumo wa usambazaji umeme wa kituo cha urutubishaji urani cha kituo cha nyuklia cha Natanz hapa nchini ni jinai ya kivita.

  • Foreign Policy yafichua taasisi bandia inayodai kuwa na uhusiano na UN, inahusishwa na uhalifu wa kimataifa

    Foreign Policy yafichua taasisi bandia inayodai kuwa na uhusiano na UN, inahusishwa na uhalifu wa kimataifa

    Mar 24, 2021 22:04

    Uchunguzi uliofanywa na gazeti la Foreign Policy umefichua habari za taasisi moja inayodai kuwa na uhusiano na Umoja wa Mataifa na kutetea haki za binadamu ambayo viongozi wake wanatuhumiwa kuhusika na uhalifu na jinai nyingi zikiwemo za kutakatisha fedha chafu na kutorosha mabilioni ya dola za Marekani zilizokuwa zimeporwa kutoroshwa nje ya nchi na kiongozi wa zamani wa Libya, Muammar Gaddafi kabla ya kuuawa kwake.

  • UN: Zaidi ya 200 wameuawa katika mashambulio ya wabeba silaha DRC

    UN: Zaidi ya 200 wameuawa katika mashambulio ya wabeba silaha DRC

    Mar 20, 2021 06:06

    Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya 200 wameuawa katika mashambulio ya magenge ya wabeba silaha katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo tokea Januari mwaka huu hadi sasa.

  • UN: Vikwazo vya silaha dhidi ya Libya havina athari yoyote

    UN: Vikwazo vya silaha dhidi ya Libya havina athari yoyote

    Mar 17, 2021 04:01

    Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wamesema vikwazo vya silaha vya umoja huo dhidi ya Libya vinaendelea kukiukwa na kwa msingi huo havina taathira yoyote.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS