Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Katibu Mkuu wa UN: Kirusi cha corona ni tishio kwa 'binadamu wote kwa ujumla wao'

    Katibu Mkuu wa UN: Kirusi cha corona ni tishio kwa 'binadamu wote kwa ujumla wao'

    Mar 26, 2020 03:32

    Katbu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amezindua kampeni ya ombi la kuchangia dola bilioni mbili za msaada wa kimataifa wa huduma za kibinadamu kwa ajili ya nchi zilizo masikini zaidi ili kuziwezesha kupambana na janga la kirusi cha corona, huku idadi ya vifo vinavyosababishwa na kirusi hicho katika nchi za Italia na Uhispania ikizidi kuongezeka.

  • Yemen yakaribisha uamuzi wa muungano wa kijeshi wa Saudia wa kuafiki kusitisha mapigano

    Yemen yakaribisha uamuzi wa muungano wa kijeshi wa Saudia wa kuafiki kusitisha mapigano

    Mar 26, 2020 03:29

    Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen amekaribisha uamuzi uliotangazwa na muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia wa kuafiki pendekezo la Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa la kusitisha vita na kupunguza mivutano nchini Yemen ili kusaidia mapambano dhidi ya maambukizi ya kirusi cha corona.

  • Kukaribisha Umoja wa Mataifa makubaliano ya usitishaji vita katika vita vya ndani nchini Libya

    Kukaribisha Umoja wa Mataifa makubaliano ya usitishaji vita katika vita vya ndani nchini Libya

    Mar 24, 2020 09:00

    Vita vya ndani nchini Livya viliibua wasiwasi mkubwa kufuatia mashambulio ya mara kwa mara ya Jeshi la Taifa la Libya linaloongozwa na jenerali Khalifa Haftar yaliyoanza Aprili mwaka jana kwa shabaha ya kuiangusha Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa.

  • Wapiganaji wa Haftar wapuuza mwito wa UN, waendelea kumwaga damu Libya

    Wapiganaji wa Haftar wapuuza mwito wa UN, waendelea kumwaga damu Libya

    Mar 24, 2020 03:28

    Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya imetangaza habari ya kuuawa watu 6 katika mashambulizi ya roketi ya kundi la wanamgambo linalojiita jeshi la kitaifa la Libya linaloongozwa na Jenerali muasi Khalifa Haftar jana Jumatatu viungani mwa mjini mkuu Tripoli.

  • Guterres ataka kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Guterres ataka kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Mar 21, 2020 22:06

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuna haja ya kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran na kusisitiza kuwa, vikwazo hivyo vimekuwa kizingiti katika jitihada za Jamhuri ya Kiislamu za kupambana na ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na kirusi cha Corona.

  • UN yalaani mauaji ya wasichana na wanawake mjini Tripoli, Libya

    UN yalaani mauaji ya wasichana na wanawake mjini Tripoli, Libya

    Mar 20, 2020 08:36

    Umoja wa Mataifa umelaani shambulizi la mabomu katika mji mkuu wa Libya Tripoli, ambalo liliua na kujeruhi watoto wa kike na wanawake kadhaa.

  • Umoja wa Mataifa wasema Afghanistan ndiyo nchi iliyo na idadi kubwa zaidi ya vifo vya watoto duniani

    Umoja wa Mataifa wasema Afghanistan ndiyo nchi iliyo na idadi kubwa zaidi ya vifo vya watoto duniani

    Mar 17, 2020 23:39

    Mwakilishi Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Watoto, ameitaja Afghanistan kuwa nchi iliyo na idadi kubwa zaidi ya vifo vya watoto duniani.

  • Iraq yaishtaki Marekani Baraza la Usalama baada ya kushambulia vituo vya jeshi la nchi hiyo

    Iraq yaishtaki Marekani Baraza la Usalama baada ya kushambulia vituo vya jeshi la nchi hiyo

    Mar 17, 2020 12:13

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq imeishtaki Marekani katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa baada ya jeshi la nchi hiyo kushambulia kambi za jeshi na askari polisi wa Iran.

  • UN: Corona itadhibitiwa kwa kutumia mantiki, si kwa kueneza taharuki

    UN: Corona itadhibitiwa kwa kutumia mantiki, si kwa kueneza taharuki

    Mar 15, 2020 23:05

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema dunia itafanikiwa katika vita dhidi ya ugonjwa hatari wa Covid-19 (Corona) kwa kutumia mantiki, busara na tahadhari na wala sio kwa kueneza hofu na taharuki.

  • Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ajiuzulu

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ajiuzulu

    Mar 03, 2020 03:55

    Ghassan Salamé, mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ametangaza kujiuzulu wadhifa huo, huku mgogoro wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika ukishtadi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS