-
Tehran yaihutubu EU: Shughulikieni jinai za Israel badala ya kutoa madai ya kinafiki
Mar 27, 2025 11:08Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Iran, Esmaeil Baghaei amemkosoa vikali mkuu mpya wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Kaja Kallas, kutokana na matamshi yake ya karibuni ya kuitaja Iran kama "tishio" wakati wa ziara yake ya karibuni katika maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu na Israel.
-
Mapatano mapya ya nchi za Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia
Mar 24, 2025 10:34Kwa kutilia maanani jaribio la utawala wa Trump la kuanzisha usitishaji vita nchini Ukraine kwa kuilazimisha ikubali masharti yaliyowekwa na Russia na upinzani wa nchi za Umoja wa Ulaya dhidi ya suala hili, na kwa upande mwingine madai ya baadhi ya viongozi wa Ulaya kuhusu vitisho vya Russia dhidi ya bara hilo, nchi hizo sasa zimechukua hatua mpya kwa ajili ya kukabiliana na Moscow.
-
Balozi wa Trump: Russia haitaki kushambulia Ulaya
Mar 23, 2025 02:40Mjumbe maalum wa Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati (Asia Magharibi), Steve Witkoff amepuuzilia mbali madai kwamba Russia ina nia ya kuzivamia nchi nyingine za Ulaya, akisisitiza kuwa hofu hizo ni za "kipuuzi".
-
Wanachama wa EU wakubaliana kuongeza nguvu za kijeshi mkabala wa Russia
Mar 22, 2025 04:33Waziri Mkuu wa Poland amesema kuwa nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa zimekubaliana hadi kufikia mwaka 2030 kuongeza uwezo wao wa kijeshi ili kuweza kukabiliana na mshambulizi yoyote ya Russia.
-
Russia yaitaka Ulaya iache vitisho dhidi ya Iran
Mar 06, 2025 02:29Russia imekosoa vikali vitisho vya Uingereza, Ufaransa na Ujerumani vya kuamilisha mchakato wa kurejesha vikwazo dhidi ya Iran na kutaja msimamo huo kuwa wa "kutowajibika" na "ulio kinyume cha sheria".
-
EU: Hatuwezi kuficha wasiwasi tulionao kuhusu matukio yanayojiri Ufukwe wa Magharibi, Palestina
Feb 25, 2025 09:45Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema, umoja huo hauwezi kuficha wasiwasi ulionao kuhusu matukio yanayojiri katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kwamba mzozo wa Palestina na Israel hauna ufumbuzi mwingine isipokuwa suluhu ya kuundwa mataifa mawili.
-
Mzozo wa DRC: Bunge la Rwanda lalaani azimio la EU dhidi yake
Feb 22, 2025 11:58Bunge la Rwanda limekosoa vikali azimio lililopasishwa hivi karibuni na Bunge la Ulaya, likidai kuwa Rwanda linahusika na mzozo na machafuko yanayoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Wafanyakazi wa EU walalamikia Brussels kuiunga mkono Israel
Feb 22, 2025 11:47Makumi ya wafanyakazi wa Umoja wa Ulaya wamekusanyika Brussels, mji mkuu wa Ubelgiji, kulalamikia uungaji mkono wa jumuiya hiyo kwa utawala wa Israel.
-
China yaiambia G20: Lazima dunia iisikilize Afrika, iyape uzito masuala yanayoitia wasiwasi
Feb 22, 2025 05:55Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi amesema, lazima dunia isikilize "kile Afrika inachosema" na kuuchukulia wasiwasi ilionao Afrika "kwa uzito". Wang ameyasema hayo katika hotuba yake mbele ya hadhara ya washiriki wa mkutano wa Kundi la Mataifa 20 (G20) unaofanyika mjini Johannesburg nchini Afrika Kusini.
-
Wabunge EU: Ulaya haiwezi kuendelea kuitegemea Marekani
Feb 19, 2025 12:04Wabunge wa Bunge la Ulaya wamesema bara hilo haliwezi kuendelea kuitegemea kikamilifu Marekani kwa ulinzi; na kutoa wito wa kuimarisha uwezo wa kiulinzi wa Ulaya sambamba na kuendelea kuiunga mkono Ukraine.