-
Mienendo ya kindumakuwili ya Ulaya kuhusu waranti ya kukamatwa watawala wa Israel
Nov 29, 2024 15:27Hatua ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ya kutoa waranti ya kukamatwa Benjamin Netanyahu na Yoav Gallant, Waziri Mkuu na waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel imeakisiwa pakubwa kimataifa kwa kutilia maanani umuhimu wake na pia kutokana na kutochukuliwa hatua kama hiyo huko nyuma dhidi ya viongozi wa utawala huo ghasibu.
-
Human Rights Watch yataka uungaji mkono wa Ulaya kwa waranti ya kukamatwa Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni
Nov 27, 2024 07:44Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesisitiza na kutaka kuwepo uungaji mkono wa Umoja wa Ulaya kwa uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC wa kukamatwa Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni kutokana na kuhusika kwake katika jinai za kivita.
-
Borrell: Hati ya kukamatwa Netanyahu, Gallant si ya kisiasa, nchi zote za EU zina wajibu wa kuitekeleza
Nov 22, 2024 03:29Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya, Josep Borrell amesema, hati zilizotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC za kuamuru kukamatwa waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu na waziri wa zamani wa vita wa utawala huo Yoav Gallant si maamuzi ya "kisiasa" na ni lazima "yaheshimiwe" na nchi zote wanachama wa umoja huo.
-
Siku 1000 za vita vya Ukraine na mustakabali wake usiojulikana
Nov 20, 2024 02:36Jumatatu ya juzi 18 Novemba, 2024, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilifanya mkutano mjini New York, kwa mnasaba wa siku elfu 1000 za Vita vya Ukraine.
-
Kansela wa Ujerumani akiri kuhitilafiana Umoja wa Ulaya kuhusu Ukraine
Nov 11, 2024 02:30Kansela wa Ujerumani amesema kuwa anahitilafiana pakubwa kimitazamo na Waziri Mkuu wa Hungary kuhusu namna ya kushughulikia mgogoro wa Ukraine na kukiri kuwepo hitilafu hizo ndani ya Umoja wa Ulaya kuhusu Ukraine.
-
Kupasishwa vikwazo dhidi ya utawala wa Kizayuni katika Bunge la Ireland
Nov 10, 2024 02:11Wabunge wa Ireland wamepasisha muswada ambao unauarifisha utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni utawala mtenda jinai unaofanya mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza mbele ya macho ya walimwengu.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Ulaya ni kielelezo cha unafiki
Oct 30, 2024 08:12Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuwa, Ulaya ni kielelezo cha unafiki. Abbas Araghchi ameyasema hayo akijibu matamshi ya uingiliaji kati ya Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya baada ya kunyongwa kiongozi wa kundi la kigaidi la "Tondar" nchini Iran.
-
Mfalme Charles aungama kuhusu 'sura chungu' ya ukoloni wa Uingereza, miito ya kulipa fidia yatolewa
Oct 26, 2024 05:59Mfalme Charles III ameungama kuhusu "sura chungu" ya utawala wa kikoloni wa Uingereza duniani huku kukitolewa miito ya kulipwa fidia ya utumwa ulioendeshwa na mkoloni huyo mkongwe.
-
Kamal Kharrazi: Uungaji mkono wa EU kwa UAE ni uadui wa wazi dhidi ya Iran
Oct 19, 2024 03:04Mkuu wa Baraza la Kistratejia la Uhusiano wa Nje la Iran amekosoa uingiliaji kati wa Umoja wa Ulaya (EU) kwa malengo yasiyofaa na kuunga mkono madai ya Imarati kuhusu visiwa vitatu vya Iran, na amewatahadharisha viongozi wa Imarati kwamba waache uadui wao na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Wafanyakazi wa Umoja wa Ulaya waandamana kupinga uungaji mkono wa EU kwa Israel
Sep 21, 2024 04:31Wafanyakazi wa mashirika yenye uhusiano na Umoja wa Ulaya wamepinga sera ya umoja huo kuhusu Palestina na kutoa wito wa kusitishwa mara moja na daima mapigano huko Gaza, Palestina.