-
Uturuki kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel katika masuala ya usalama
Jun 24, 2022 03:17Waziri wa mambo ya nje wa Uturuki Mevlut Cavusoglu amesema, baada ya kuongeza kiwango cha uwakilishi wa kidiplomasia, nchi yake itaanzisha ushirikiano wa kiusalama na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Ripoti: Bin Salman kuwaruhusu Wazayuni kununua milki Makka na Madina
Jun 22, 2022 23:24Tovuti moja imefichua kuwa mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia, Mohammad Bin Salman, anatekeleza mpango ambao utawawezesha Wazayuni kununua milki katika miji mitakatifu ya Makka na Madina.
-
Knesset yapiga kura ya kulivunja bunge hilo la utawala wa Kizayuni
Jun 22, 2022 23:13Bunge la utawala haramu wa Israel (Knesset) limepiga kura ya kujivunja, na hivyo kuandaa mazingira ya uwezekano wa kurejea madarakani kwa kinara wa chama cha Likud, Benjamin Netanyahu, huku baraza la mawaziri la muungano wa Waziri Mkuu, Naftali Bennett, likiporomoka.
-
Nguvu za kijeshi za Hizbullah ya Lebanon zimeongezeka kila upande, imejiandaa vilivyo kupambana na Wazayuni
Jun 20, 2022 22:12Nguvu za Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon zimeongezeka kila upande, angani, ardhini na majini na imejiandaa kikamilifu kupambana na Wazayuni.
-
Iran: Utawala wa Kizayuni ndiyo sababu ya ugaidi na uharibifu katika eneo hili zima
Jun 19, 2022 02:26Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema katika mazungumzo yake na waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Muungano wa Falme za Kiarabu (Imarati) kwamba kuwepo utawala pandikizi wa Kizayuni katika eneo hili ndiyo sababu ya ukosefu wa utulivu na amani kama ambavyo ndio ulioleta vitendo vya kigaidi na uharibifu katika eneo hili zima.
-
Israel haiwezi kukana kuwa ndiye nduli wa Sabra na Shatila
Jun 19, 2022 02:24Gazeti la Kizayuni la Yedioth Ahronoth limechapisha ripoti maalumu inayothibitisha kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel ndiye nduli wa mauaji ya umati ya Wapalestina katika kambi za wakimbizi za Sabra na Shatila za nchini Lebanon.
-
Mvutano mpya katika uhusiano wa Russia na Israel baada ya shambulizi dhidi ya uwanja wa ndege wa Damascus
Jun 17, 2022 05:29Uhusiano kati ya Russia na utawala wa Kizayuni wa Israel umeingia katika awamu mpya yenye mivutano baada ya mashambuizi ya Russia dhidi ya Ukraine kutokana na misimamo ya Tel Aviv ya kujiunga na nchi za Magharibi na kuchukua misimamo dhidi ya Russia.
-
Iran: Hatutoruhusu kufanikiwa njama za Wazayuni za kueneza chuki dhidi yetu
Jun 16, 2022 06:13Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika masuala ya kisiasa amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu haitoruhusu kufanikiwa njama za Wazayuni za kueneza chuki chidi ya Tehran.
-
Human Right Watch: Mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza ni jinai dhidi ya binadamu
Jun 15, 2022 23:21Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limetangaza kuwa, mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza huko Palestina unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa israel ni jinai dhidi ya binadamu.
-
Waandishi habari Morocco wapinga uhusiano wa kawaida wa kihabari na Israel
Jun 14, 2022 06:08Waandishi wa habari wa Morocco wamepinga kufunguliwa nchini humo ofisi za televisheni ya utawala haramu wa Israel ya i24 na wametaka zifungwa mara moja.