-
2021; mwaka wa vifo vingi zaidi vya watoto wa Palestina katika kipindi cha miaka 7 iliyopita
Dec 20, 2021 06:33Tovuti moja ya habari ya utawala wa Kizayuni wa Israel imeripoti kuwa, baada ya mwaka 2014 yaani wakati vilipotokea vita vya siku 51 na kuuawa shahidi idadi kubwa ya watoto wa Palestina, mwaka huu wa 2021 ndio ulioshuhudia idadi kubwa zaidi ya watoto wa Kipalestina waliouliwa shahidi na Israel.
-
HAMAS yaionya Israel kuhusiana na hujuma zake dhidi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan
Dec 18, 2021 23:54Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeuonya utawala haramu wa Israel kuhusiana na kushadidisha hujuma na mashambulio yake dhidi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Oparesheni ya Nablos; jibu la Wapalestina kwa jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel
Dec 18, 2021 09:10Walowezi wawili wa Kizayuni wamejeruhiwa na mmoja kuangamizwa katika ufyatuaji risasi wa siku ya Alhamisi iliyopita karibu na kitongoji cha walowezi wa Kiyahudi cha Homesh huko Nablos katika ardhi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan inayokaliwa kwa mabavu.
-
Kufichuliwa ujasusi wa kundi la Kizayuni dhidi ya taasisi za Kiislamu nchini Marekani
Dec 17, 2021 23:33Baraza la Uhusiano wa Marekani na Uislamu CAIR limefichua kuwa, genge moja la maadui wa Uislamu nchini Marekani linashirikiana na mashirika ya kijasusi ya utawala wa Kizayuni wa Israel na limeunda kanali maalumu ya siri ya kujipenyeza na kufanya ujasusi katika safu za Waislalmu.
-
Shirika la kutetea haki za watoto: 2021, ni mwaka waliouliwa watoto wengi zaidi wa Palestina
Dec 15, 2021 23:57Shirika moja la kutetea haki za watoto limesema, tokea 2014 hadi sasa, mwaka huu wa 2021 ndio ulioshuhudia umwagaji mkubwa zaidi wa damu za watoto wa Palestina.
-
Wasaudia wengi wapinga kuanzishwa rasmi uhusiano na utawala wa Kizayuni
Dec 13, 2021 09:51Uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni unaonyesha kuwa, asilimia 77 ya wananchi wa Saudi Arabia wanapinga suala la kuanzishwa rasmi uhusiano kati ya nchi za Kiarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mkuu wa Harakati ya Kiislamu katika ardhi za Palestina zilizoghusubiwa mwaka 1948 aachiwa huru
Dec 13, 2021 09:30Duru za habari zimearifu kuwa kiongozi wa Harakati ya Kiislamu katika ardhi za Palestina zilizokaliwa kwa mabavu tangu mwaka 1948 ameachiwa huru kutoka katika jela ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Jihad Islami: Kuanzisha uhusiano na adui Mzayuni ni khiyana na usaliti kwa Palestina
Dec 13, 2021 05:59Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imelaani vikali kitendo cha viongozi wa Imarati cha kumpokea nchini humo Naftali Bennett, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel na kueleza kwamba, hiyo ni khiyana na usaliti kwa taifa la Palestina.
-
UN yatoa azimio dhidi ya maamuzi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu eneo la Golan
Dec 10, 2021 09:36Umoja wa Mataifa mapema leo Ijumaa umepasisha azimio linalolaani na kubatilisha hatua zote za Israel katika eneo la Syria la Golan linalokaliwa kwa mabavu na utawala huo na kuutaka utawala wa Kizayuni ukomeshe hatua zote zinazokiuka sheria za kimataifa.
-
Tahadhari iliyotolewa na Algeria kuhusu njama za utawala wa Kizayuni wa Israel za kulidhibiti bara la Afrika
Dec 07, 2021 01:26Kwa muda mrefu sasa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umetumia sera na mbinu tofauti ili kujipenyeza na kuwa na satua katika nchi za Afrika, muhimu zaidi ikiwa ni ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na nchi za Kiarabu; sera ambayo imeweza kutekelezwa kivitendo katika kipindi cha miezi kadhaa iliyopita kwa msaada na uungaji mkono wa Marekani.