-
HAMAS: 'Maandamano ya Bendera' ya Wazayuni hayawezi kubadilisha utambulisho wa Palestina
Dec 06, 2021 09:33Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, maandamano ya Wazayuni wakiwa wamebeba bendera za utawala haramu wa Israel hayawezi kubadilisha utambulisho wa Kiarabu na Kipalestina wa ardhi hizo na wakazi asili wa ardhi hizo.
-
Kuwait yapiga marufuku meli za Israel kutia nanga nchini humo
Dec 05, 2021 02:49Serikali ya Kuwait imezipiga marufuku meli za kibiashara zinazobeba bidhaa za utawala wa Kizayuni wa Israel kutia nanga katika bandari za nchi hiyo au kubeba bidhaa kutoka Kuwait kuelekea Israel.
-
Israel na Marekani vizuizi vikuu vya kuwepo Mashariki ya Kati isiyo na silaha za maangamizi ya umati
Dec 03, 2021 09:29Fikra ya kuwepo Mashariki ya Kati isiyo na silaha za mauaji ya halaiki ilitolewa miaka kadhaa iliyopita lakini hadi sasa fikra hiyo haijatekelezwa kivitendo.
-
OIC yamlaani rais wa Israel kwa kuingia Msikiti wa Ibrahim AS kinyume cha sheria
Nov 30, 2021 04:24Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani hatua ya Rais Isaac Herzog wa utawala wa Kizayuni wa Israel kuingia kinyume cha sheria katika Msikiti wa Nabii Ibrahim AS katika mji wa Al Khalil au Hebron kusini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Tehran: Utawala wa Kizayuni ufikirie kwanza ukubwa wake kabla ya kufikiria kushambulia vituo vya nyuklia vya Iran
Nov 27, 2021 11:11Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni unapaswa kufikiria ukubwa na udhaifu wake kwanza kabla ya kujipa uthubutu wa kutoa majigambo kuwa itashambulia taassi za nyuklia za Iran.
-
PLO yalaani makubaliano ya kijeshi ya Morocco na utawala wa Kizayuni wa Israel
Nov 27, 2021 04:30Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) imelaani vikali makubaliano ya kijeshi yaliyofikiwa baina ya Morocco na utawala wa Kizayuni wa Israel na kueleza kuwa, mabaliano hayo ni zawadi kwa wavamizi.
-
Iran yatoa majibu makali kwa bwabwaja mpya za utawala wa Kizayuni wa Israel
Nov 25, 2021 23:19Msimamiaji wa nafasi ya uwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Vienna Austria ametoa majibu makali kwa bwabwaja na upayukaji mpya wa mwakilishi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Huduma mpya ya London kwa Tel Aviv kwa kuituhumu Hamas kuwa ni kundi la kigaidi
Nov 21, 2021 06:38Katika kuendeleza siasa zake dhidi ya taifa la Palestina na kuunga mkono utawala haramu wa Israel, Uingereza imetuhumu na kuitangaza Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Paletina Hamas kuwa ni kundi la kigaidi.
-
Khalid Mash'al: Kufanya mapatano na utawala wa Kizayuni ni kulisaliti taifa la Palestina
Nov 19, 2021 08:29Kiongozi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS nje ya nchi amesema mapatano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ni kosa kubwa na usaliti kwa taifa la Palestina.
-
Wanajeshi wa Israel wavamia Quds na mabuldoza yao na kuharibu mali za Wapalestina
Nov 17, 2021 10:09Mabuldoza ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel yamevamia maeneo ya kaskazini mwa mji wa Quds na kuharibu mali na miliki za Wapalestina katika maeneo hayo.