Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Iran yaipongeza Algeria kwa kupinga Israel kuwa mwanachama mwangalizi Umoja wa Afrika

    Iran yaipongeza Algeria kwa kupinga Israel kuwa mwanachama mwangalizi Umoja wa Afrika

    Nov 12, 2021 07:35

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepongeza hatua ya hivi karibuni ya Algeria kupinga utawala haramu wa Israel kupewa hadhi ya mwanachama mwangalizi katika Umoja wa Afrika.

  • Ismail Hania: Tunapambana kufa na kupona kuhakikisha mateka wa Kipalestina wanaachiliwa huru

    Ismail Hania: Tunapambana kufa na kupona kuhakikisha mateka wa Kipalestina wanaachiliwa huru

    Nov 11, 2021 22:52

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kwa mara nyingine tena kwamba, suala ka kuachiliwa huru mateka wa Kipalestina ni miongoni mwa mambo yanayopewa kipaumbele na harakati hiyo.

  • Hamas: Hali mbaya ya mateka wa Kipalestina katika jela za Israel itaibua vita

    Hamas: Hali mbaya ya mateka wa Kipalestina katika jela za Israel itaibua vita

    Nov 10, 2021 02:45

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislmu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, hali mbaya ya mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika korokoro za Israel utazucha cheche za mlipuko wa vita na utawala huo ghasibu.

  • Jihad al Islami yatoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Jihad al Islami yatoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Nov 07, 2021 00:11

    Kiongozi mmoja mwandamizi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Jihad al Islami wa Palestina ametoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel akitahadharisha kuwa, kama mateka mmoja tu wa Palestina atauawa shahidi, basi utawala huo utalipa jinai yake hiyo.

  • Israel: Hizbullah ina uwezo wa kutupiga kwa maelfu ya makombora kila siku

    Israel: Hizbullah ina uwezo wa kutupiga kwa maelfu ya makombora kila siku

    Nov 04, 2021 08:32

    Kamanda wa Operesheni za Kambi ya Ndani ya utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa, harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ina uwezo mkubwa wa makombora ambao unaiwezesha kuushambulia utawala wa Kizayuni kwa maelfu ya makombora kila siku kama vita baina ya pande hizo mbili vitatokea.

  • Hizbullah: Lebanon haitasalimu amri kwa vitisho vya Saudi Arabia

    Hizbullah: Lebanon haitasalimu amri kwa vitisho vya Saudi Arabia

    Nov 03, 2021 09:07

    Mjumbe wa Baraza Kuu la la chama cha Hizbullah nchini Lebanon amesema kuwa nchi hiyo haitasalimu amrii mbele ya mashinikizo na vitisho vya Saudi Arabia.

  • HAMAS: Hakuna dola lolote linaloweza kuwalazimisha Wapalestina watoke katika ardhi zao

    HAMAS: Hakuna dola lolote linaloweza kuwalazimisha Wapalestina watoke katika ardhi zao

    Nov 03, 2021 04:13

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, hakuna dola lolote duniani lenye uwezo wa kulilazisha taifa la Palesitna liondoke katika ardhi zake na kuzifumbia macho.

  • Viongozi wa Israel wakiri kushindwa katika vita vya mawasiliano ya Intaneti

    Viongozi wa Israel wakiri kushindwa katika vita vya mawasiliano ya Intaneti

    Nov 01, 2021 21:29

    Televisheni moja ya nchini Lebanon imetangaza kuwa, viongozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamekiri kwamba wameshindwa katika vita vya mawasiliano ya Intaneti (Cyber War) na hadi hivi sasa wameshindwa kujua namna ya kujihami katika vita hivyo.

  • Jihad Islami yalaani kitendo cha mwakilishi wa Israel cha kuchana ripoti ya Baraza la Haki za Binadamu la UN

    Jihad Islami yalaani kitendo cha mwakilishi wa Israel cha kuchana ripoti ya Baraza la Haki za Binadamu la UN

    Oct 31, 2021 04:02

    Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imewangaza kuwa hatua ya mwakilishi wa utawala wa Kizayuni wa Israel ya kurarua ripoti ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa ni kielelezo cha kilele cha kiburi cha kisiasa cha utawala huo na jinsi unavyozidharau taasisi za kimataifa.

  • Ismail Haniya: Utawala haramu wa Israel umo katika hali ya kudhoofika zaidi

    Ismail Haniya: Utawala haramu wa Israel umo katika hali ya kudhoofika zaidi

    Oct 30, 2021 09:33

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, hii leo utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umo katika hali ya kudhoofika sana na katu hauwezi kuwa na ushawishi tena katika eneo la Asia Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS