-
HAMAS: Mpango wa ujenzi wa vitongoji vipya vya walowezi wa Kizayuni ni jinai za kivita
Oct 29, 2021 04:39Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amelaani vikali mpango wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wa ujenzi wa vitongoji vipya vya walowezi wa Kiyahudi katika maeneo ya Wapalestina na kusema kuwa, hatua hiyo ni jinai za kivita.
-
Majasusi wa Israel wahukumiwa kifo Ukanda wa Gaza
Oct 29, 2021 00:17Vyombo vya habari vya Palestina vimeripoti kuwa, Mahakama ya Kijeshi ya Ukanda wa Gaza imewahukumu kifo majajusi sita wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Shamkhani: Israel itenge bajeti ya kutosha ya kukarabati hasara za majibu ya Iran
Oct 24, 2021 23:04Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel uanze kufikiria kutenga bajeti ya hasara kubwa zitakazosababishwa na majibu makali ya Iran.
-
Ongezeko la idadi ya wanajeshi watoro katika jeshi la Israeli
Oct 18, 2021 08:51Duru za habari za Israel zimeripoti kuwa idadi ya askari wanaotoroka jeshi la utawala huo inaongezeka siku baada ya siku.
-
HAMAS yalaani uratibu wa kiusalama baina na Mamlaka ya Ndani ya Palestina na Israel
Oct 18, 2021 04:40Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amekosoa vikali uratibu na ushirikiano wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Israel yaingiwa na wasiwasi kuwa yamkini Sudan ikabatilisha mapatano ya ushusiano
Oct 16, 2021 03:45Gazeti la Kizayuni la Maariv limefichua kuwa, wakuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wana wasiwasi kuwa Sudan huenda ikajiondoa hatua kwa hatua katika mapatano ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala huo.
-
Sudan yapinga Israel kuwa mwangalizi katika Umoja wa Afrika
Oct 15, 2021 08:58Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imetangaza kuwa nchi hiyo inapinga utawala wa Kizayuni wa Israel kupewa hadhi ya mwanachama mwangalizi katika Umoja wa Afrika.
-
Algeria yazima njama ya utawala haramu wa Israel
Oct 13, 2021 23:23Vyombo rasmi vimetangaza kuwa, askari usalama wa Algeria wamefanikiwa kuzima njama iliyokuwa imepangwa kutekelezwa na maadui wa nchi hiyo kwa kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Israel yaanzisha chokochoko za kijeshi katika miinuko ya Golan ya Syria
Oct 13, 2021 04:09Vyombo vya habari vya Kiarabu vimeripoti kuwa, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umeanzisha chokochoko na harakati za kijeshi katika eneo la miinuko ya Golan la ardhi ya Syria.
-
Nabil Abu Rudeineh: Utawala ghasibu wa Israel ni msingi wa ugaidi
Oct 11, 2021 04:11Msemaji wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa utawala ghasibu wa Israel ni msingi wa ugaidi.