Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Hamas yawataka Wapalestina wajitayarishe kuutetea Msikiti wa al Aqsa

    Hamas yawataka Wapalestina wajitayarishe kuutetea Msikiti wa al Aqsa

    Oct 09, 2021 04:26

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imewataka Wapalestina wajitayarishe kwa ajili ya kuutetea Msikiti wa al Aqsa bila ya kujali uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kusitisha azma yake ya kuruhusu ibada ya Mayahudi katika eneo hilo tukufu.

  • Wanamapambano Palestina walaani kuvunjiwa heshima Msikiti wa al Aqsa

    Wanamapambano Palestina walaani kuvunjiwa heshima Msikiti wa al Aqsa

    Oct 08, 2021 13:22

    Makundi ya mapambano ya ukombozi wa Palestina yametangaza kuwa, kuwaruhusu Wayahudi kufanya ibada katika viwanja vya Msikiti wa al Aqsa ni hatua hatari sana inayovunjia heshima matukufu ya Kiislamu.

  • OIC yalaani uchokozi na uvamizi wa Israel dhidi ya msikiti mtukufu wa Al Aqsa

    OIC yalaani uchokozi na uvamizi wa Israel dhidi ya msikiti mtukufu wa Al Aqsa

    Oct 02, 2021 04:43

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imelaani uvamizi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya msikiti mtukufu wa Al Aqsa.

  • Kamanda wa jeshi la nchi kavu la Iran: Tunazifuatilia kikamilifu harakati za Wazayuni

    Kamanda wa jeshi la nchi kavu la Iran: Tunazifuatilia kikamilifu harakati za Wazayuni

    Oct 01, 2021 10:02

    Kamanda wa vikosi vya nchi kavu vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa tangu uje utawala wa Kizayuni karibu na mipaka ya nchi, Iran imezidi kuguswa na suala la usalama wa mpaka wake wa kaskazini magharibi na kwa sababu hiyo harakati za utawala huo haramu zinafuatiliwa kikamilifu.

  • Wabahrain waandamana kupinga waziri wa utawala wa Kizayuni kukanyaga ardhi ya nchi yao

    Wabahrain waandamana kupinga waziri wa utawala wa Kizayuni kukanyaga ardhi ya nchi yao

    Sep 30, 2021 22:57

    Wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano makubwa katika miji kadhaa ya nchi hiyo kupinga waziri wa mambo ya nje wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kukanyaga ardhi ya nchi yao na kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Tel Aviv.

  • Ehud Olmert: Israel haina ubavu wa kuangamiza uwezo wa kinyuklia wa Iran

    Ehud Olmert: Israel haina ubavu wa kuangamiza uwezo wa kinyuklia wa Iran

    Sep 27, 2021 22:55

    Waziri Mkuu wa zamani wa utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa utawala huo haramu hauna uwezo wa kuiua teknolojia ya nyuklia ya Iran.

  • Sababu za Wapalestina kutaka Mahmoud Abbas atoke madarakani

    Sababu za Wapalestina kutaka Mahmoud Abbas atoke madarakani

    Sep 23, 2021 08:12

    Katika hali ambayo Wapalestina waliowengi wanataka Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina aondolewe madarakani, utawala haramu wa Israel unafanya kila unaloweza kuhakikisha kuwa nafasi ya kiongozi juyo inaimarishwa zaidi na kumfanya aendelee kusalia katika kilele cha uongozi wa Palestina.

  • Hatibu wa al Aqsa: Mapambano ya taifa la Palestina yamezima njama za Israel dhidi ya Al Aqsa

    Hatibu wa al Aqsa: Mapambano ya taifa la Palestina yamezima njama za Israel dhidi ya Al Aqsa

    Sep 15, 2021 08:27

    Hatibu wa Msikiti wa al Aqsa amesema kuwa mapambano na kusimama kidete kwa taifa la Palestina vimezima na kukwamisha njama za utawala haramu wa Israel za kuudhibiti kikamilifu msikiti huo.

  • Mwanasoka wa Iran akataa kuchezea klabu yake ya Uholanzi katika mechi ya kimataifa na timu ya Kizayuni

    Mwanasoka wa Iran akataa kuchezea klabu yake ya Uholanzi katika mechi ya kimataifa na timu ya Kizayuni

    Sep 11, 2021 02:29

    Klabu ya soka ya Feyenoord Rotterdam ya Uholanzi imekubali ombi la Alireza Jahanbakhsh mwanasoka wa timu ya taifa ya Iran anayechezea timu hiyo la kutoandamana nayo katika mechi dhidi ya timu ya Kizayuni ya Maccabi Haifa katika michuano ya klabu za Ulaya.

  • Handaki ya Uhuru; Pigo Kali la Mateka wa Kipalestina kwa Usalama wa Israel

    Handaki ya Uhuru; Pigo Kali la Mateka wa Kipalestina kwa Usalama wa Israel

    Sep 10, 2021 21:01

    Mateka 6 wa Kipalestina wametoa pigo kali kwa hadhi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kwa hatua yao ya kuchimba njia ya chini ya ardhi iliyopewa jina la "Handaki ya Uhuru".

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS