-
Iran yajibu upayukaji wa waziri wa mambo ya nje wa Israel
Sep 10, 2021 21:00Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu porojo na upayukaji wa waziri wa mambo ya nje wa utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema kuwa, Iran ina haki ya kujibu chokochoko zozote zile.
-
Vyombo vya Kizayuni vyakiri kufeli Israel Ukanda wa Ghaza
Sep 10, 2021 21:00Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni vimekiri kushindwa Israel katika vita vya hivi karibuni vya Ukanda wa Ghaza na kusema kuwa, kiwango cha kufeli huko ni kikubwa sana.
-
Israel yaiomba msaada Jordan kwa ajili ya kuwapata mateka Wapalestina waliotoroka jela
Sep 10, 2021 08:16Vyombo vya habari vya Kiebrania vimeripoti kuwa, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umeiomba msaada Jordan kwa ajili ya kuwapata mateka sita Wapalestina waliotoroka jela ya utawala huo ghasibu.
-
Kukimbia mateka wa Kipalestina, pigo kwa usalama wa utawala wa Kizayuni
Sep 09, 2021 22:16Waziri wa Usalama wa Ndani wa utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa kukimbia mateka 6 wa Kipalestina ni pigo kubwa kwa usalama wa utawala huo.
-
Mateka wa Palestina wachoma moto jela nyingine ya Kizayuni
Sep 09, 2021 03:02Duru za utawala wa Kizayuni zimetangaza kuwa, mateka wa Palestina wamechoma moto jela ya pili ya utawala wa Kizayuni.
-
Mateka Wapalestina wachoma moto jela ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya Ktzi'ot
Sep 08, 2021 22:05Duru za habari za Kiebrania zimetangaza kuwa mateka Wapalestina wanaoshikiliwa kwenye jela ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ya Ktzi'ot wamechoma moto vyumba walimowekwa ndani ya jela hiyo.
-
Makundi ya mapambano ya Palestina yaitahadharisha Israel
Sep 07, 2021 22:45Makundi ya mapambano ya ukombozi wa Palestina yametahadharisha kwamba, hali ya Ukanda wa Gaza inakaribia kuripuka na yameupa utawala wa Israel siku 15 kuruhusu bidhaa muhimu kwa ajili ya raia wa Palestina katika eneo hilo.
-
Wapalestina waandamana kwa maelfu kusherehekea metaka 6 waliotoroka jela kishujaa
Sep 07, 2021 03:17Maelfu ya Wapalestina katika Ufukwe wa Magharibi na Ukanda wa Gaza wameandamana kwa mnasaba wa kusherehekea kutoroka kishujaa mateka sita Wapalestina waliokuwa wakishikiliwa kwenye jela ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Fawzi Barhoum : Kutoroka jela mateka wa Palestina ni hatua ya kishujaa
Sep 06, 2021 06:51Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, hatua ya mateka 6 wa Kipalestina ya kutoka kwenye jela ya utawala wa Kizayuni licha ya kuweko ulinzi mkali, ni ya kishujaa.
-
Mauritania yakanusha kuwasiliana na utawala wa Kizayuni
Sep 02, 2021 06:43Serikali ya Mauritania imekanusha madai ya kuwasiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa ajili ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia.