-
Tahadhari kuhusu hujuma za kimtandao za utawala wa Kizayuni dhidi ya Algeria
Aug 30, 2021 23:12Taasisi ya Utafiti ya Magharibi mwa Asia na Kaskazini mwa Afrika ya Uadilifu na Usawa imetoa taarifa ikitahadharisha kuhusu hujuma kubwa za kimtandao za utawala wa Kizayuni dhidi ya Algeria.
-
Unicef: Israel imeua watoto 9 wa Kipalestina katika miezi miwili ya karibuni
Aug 28, 2021 03:39Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (Unicef) limeripoti kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umeua watoto 9 wa Kipalestina katika kipindi cha miezi miwili pekee na kujeruhi wengine 556.
-
Syria: Mashambulizi ya Israel yana lengo la kuinua juu moyo wa magaidi
Aug 21, 2021 03:10Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Syria imelaani mashambulizi ya hivi karibuni ya Israel dhidi ya ardhi ya nchi hiyo na kutangaza kuwa, lengo la hujuma hiyo ni kuinua juu moyo uliofifia na kukosa matumaini wa makundi ya kigaidi.
-
Hatua hatari ya Imarati kukaribisha nchini upenyaji wa kiusalama wa Israel
Aug 20, 2021 21:56Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Israel vimeripoti kwamba Imarati imeamua kutumia ndege zisizo na rubani za utawala huo katika kusimamia na kulinda usalama wa taasisi na miundomsingi yake.
-
Hamas: Kukiri kushindwa Israel kunadhihirisha nguvu ya muqawama
Aug 15, 2021 22:06Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kukiri kushindwa katika vita vya karibuni huko Ghaza inadhihirisha nguvu iliyonayo wanamapambano wa Palestina.
-
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya HAMAS yataka kuhitimishwa mzingiro dhidi ya Gaza
Aug 15, 2021 03:27Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ametoa wito wa kuhitimishwa mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza unaofanywa na utawala haramu wa Israel.
-
Mamlaka ya Ndani ya Palestina yalaani ujenzi wa mpya vitongoji vya walowezi wa Kizayuni
Aug 13, 2021 03:20Mamlaka ya Ndani ya Palestina imelaani vikali mpango mpya wa kupanua vitongoji vya walowezi wa Kizayuni hususan kibali cha kujengwa nyumba 2,200 za walowezi wa Kizayuni huko Baytul-Muqaddas na maeneo mengine ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel awasili Rabat licha ya safari yake kupingwa vikali na Wamorocco
Aug 11, 2021 09:08Duru za habari zimeripoti kuwa licha ya upinzani mkali wa asasi na wanaharakati wa Morocco, Waziri wa Mambo ya Nje wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amefanya safari kuelekea nchi hiyo ya Kiarabu iliyoko Afrika Kaskazini.
-
Amnesty yaunga mkono kampeni ya kususiwa utawala wa kibaguzi wa Israel
Aug 09, 2021 03:11Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeunga mkono hatua ya kampuni kubwa zaidi ya kutengeneza malai (ice cream) na mtindi ya Marekani ya kuususia utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Hizbullah: Shambulio la Muqawama dhidi ya utawala wa Kizayuni ni jibu kwa uchokozi wake
Aug 06, 2021 22:40Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema: shambulio la maroketi lililofanywa jana asubuhi kulenga ardhi za Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel), lilikuwa jibu mwafaka kwa uchokozi wa siku ya Alkhamisi uliofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon.