-
Haaretz: Chokochoko za Netanyahu dhidi ya Iran ni sawa na kucheza na moto
Apr 23, 2021 07:30Gazeti la Kizayuni la Haaretz limemtahadharisha Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel likieleza kuwa, chokochoko za Benjamin Netanyahu dhidi ya Iran ni sawa na kucheza na moto na kwamba zinaweza kuwa na matokeo mabaya kwa Israel.
-
Sanders ataka kubanwa misaada ya Marekani kwa utawala wa Kizayuni wa Israel
Apr 21, 2021 05:07Seneta wa kujitegemea wa Marekani, Bernie Sanders ameitaka serikali ya nchi hiyo kubana misaada yake kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa shabaha ya kuushinikiza ukomeshe kukalia kwa mabavu ardhi ya Palestina.
-
Wapalestina 4,500 wanashikiliwa katika korokoro za utawala ghasibu wa Israel
Apr 16, 2021 07:34Jumuiya ya Mateka wa Kipalestina imetangaza kuwa, Wapalestina 4,500 wakiwemo wanawake 41 na watoto 140 wanaendelea kushikiliwa katika mahabusu za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wazayuni wana wasiwasi wa Iran kulipiza kisasi cha hujuma dhidi ya kituo cha nyuklia cha Natanz
Apr 15, 2021 09:08Waziri mkuu wa zamani wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amesema, ana wasiwasi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuchukua hatua ya kulipiza kisasi kwa sababu ya Israel kufanya hujuma katika kituo cha nyukulia cha Natanz.
-
Mufti wa Quds ataka kuchukuliwa hatua za kukabiliana na hujuma dhidi ya Masjdul-Aqswa
Apr 15, 2021 03:49Mufti wa Quds na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu amewataka viongozi wa mataifa ya Kiarabu, ya Kiislamu na wananchi wa mataifa hayo kuchukua hatua za haraka za kusitisha hujuma za utawala haramu wa Israel dhidi ya Msikiti wa al-Aqswa.
-
Kimya cha IAEA baada ya uharibifu uliofanywa katika taasisi ya nyuklia ya Iran
Apr 14, 2021 21:55Hujuma ya uharibifu iliyofanywa na Israel katika taasisi ya nishati ya nyuklia ya Natanz nchini Iran siku ya Jumapili iliyopita, kwa mara nyingine tena imeleta udharura wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kama taasisi kuu zaidi ya kimataifa inayosimamia shughuli za nyuklia dunia, kutoa jibu na kueleza wazi msimamo wake.
-
Vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Iran; kwenda sambamba na Washington na Tel Aviv
Apr 14, 2021 08:18Baraza la Umoja wa Ulaya Jumatatu tarehe 12 mwezi huu wa Aprili liliwajumuisha maafisa 8 na taasisi 3 katika ordha ya vikwazo dhidi ya Iran kwa kisingizio cha eti kukiuka haki za binadamu. Aidha baraza hilo limechukua uamuzi wa kurefusha hatua zake dhidi ya Iran hadi tarehe 13 mwezi Aprili mwaka kesho kwa kisingizio cha kile ilichokitaja kuwa ukiukaji wa haki za binzdamu.
-
Marekani yasisitiza Israel ni mshirika wake wa kistratejia katika eneo
Apr 11, 2021 08:13Waziri wa Ulinzi wa Marekani amesema, utawala wa Kizayuni wa Israel ni mshirika wa kistratejia wa nchi hiyo katika eneo la Asia Magharibi.
-
Sudan yabatilisha sheria ya vikwazo na kuususia utawala haramu wa Israel
Apr 07, 2021 03:08Baraza la Mawaziri la Sudan limebatilisha sheria ya vikwazo na kuususia utawala wa Kizayuni wa Israel, miezi michache baada ya Khartoum na Tel Aviv kuafikiana juu ya kuanzisha uhusiano wa kawaida baina ya pande mbili hizo.
-
Palestina: Ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu ni jinai
Apr 05, 2021 00:00Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetangaza kuwa, ujenzi wa vitongozi vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ni jinai dhidi ya taifa la Palestina.