-
Iran yalaani kufunguliwa ubalozi wa Bahrain mjini Tel Aviv
Apr 04, 2021 03:25Kongamano la Kimataifa la Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, limelaani hatua ya utawala wa kifalme wa Bahrain kufungua ubalozi katika utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wanafikra Wazayuni: Israel ni dhaifu na tete katika kukabiliana na vita vya pande zote
Apr 02, 2021 23:04Kituo cha tafiti za usalama wa ndani cha utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kimesema, hatari kuu inayokabili uwepo wa utawala huo ni vita vya pande zote kutokea kaskazini, mashariki na kusini.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia aunga mkono kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel
Apr 02, 2021 09:49Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia amedai kuwa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kuna faida nyingi za kiuchumi, kijamii na kiusalama kwa eneo la Asia Magharibi.
-
Chama cha Waarabu kina turufu ya kuamua hatima ya uchaguzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel
Mar 25, 2021 22:26Chama kidogo cha Orodha ya Muungano wa Waarabu (UAL) kimefanikiwa kushinda idadi muhimu ya viti katika uchaguzi wa Israel na kukipa turufu ya kuchagua waziri mkuu ajaye wa utawala huo wa Kizayuni.
-
Israel kutekeleza njama mpya ili kuwaacha bila makazi Wapalestina 1550 wa Baitul Muqaddas
Mar 20, 2021 00:11Vyombo vya habari vya nchi za Kiarabu vimeripoti kuwa, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umeandaa mpango wa kubomoa nyuma zaidi ya 100 za Wapalestina katika mji unaoukalia kwa mabavu wa Baitul Muqaddas na kuwaacha Wapalestina wapatao 1550 bila mahali pa kuishi.
-
Kuendelea Azerbaijan kununua silaha za utawala haramu wa Israel
Mar 18, 2021 22:53Licha ya kufikia tamati vita vya Jamhuri ya Azerbaijan na Armenia kuhusu umiliki wa eneo la Karabakh na kutiwa saini makubaliano ya amani baina ya pande mbili kwa upatanishi wa Russia, lakini kumeanza duru mpya ya kununua silaha za utawala haramu wa Israel unaofanywa na serikali ya Rais Ilham Aliyev wa Azerbaijan.
-
Lebanon yalaani madai ya utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu Hizbullah
Mar 17, 2021 23:18Balozi wa Lebanon katika Umoja wa Mataifa amelaani madai yaliyotolewa hivi karibuni na viongozi wa Kizayuni dhidi ya Hizbullah akisisitiza kuwa hayana msingi na yanaingilia masuala ya ndani ya nchi yake.
-
Netanyahu afuta safari yake Imarati kwa kuihofu harakati ya Ansarullah
Mar 14, 2021 23:36Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni amesema kuwa amefuta safari yake katika Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kwa kuhofu mashambulizi ya makombora ya Harakati ya Ansarullah ya Yemen.
-
Israel ina hofu ya HAMAS kushinda uchaguzi wa Palestina na kudhibiti pia Ufukwe wa Magharibi
Mar 13, 2021 04:27Wachambuzi wa mambo katika duru za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wamesema mashirika ya usalama ya utawala huo yana hofu na wasiwasi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS kushinda uchaguzi ujao na kulidhibiti pia eneo la Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Jordan yasisitiza Israel haipaswi kuingilia mambo ya ndani ya Msikiti wa Al Aqsa
Mar 12, 2021 04:49Wizara ya Mambo ya Nje ya Jordan imesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel haupaswi kuingilia mambo ya Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) kwa sababu Wazayuni hawana mamlaka yoyote katika eneo hilo takatifu.