Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Iraq: Hatuna nia kabisa ya kuwa na uhusiano wa kawaida na Israel

    Iraq: Hatuna nia kabisa ya kuwa na uhusiano wa kawaida na Israel

    Mar 10, 2021 03:41

    Ikulu ya Iraq imetoa tamko rasmi la kukanusha madai ya chombo kimoja cha habari cha Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kilichodai kuwa Baghdad iko tayari kutangaza uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Waziri wa Ulinzi wa Iran: Wazayuni wakizidi kufanya upuuzi tutazisagasaga Tel Aviv na Haifa

    Waziri wa Ulinzi wa Iran: Wazayuni wakizidi kufanya upuuzi tutazisagasaga Tel Aviv na Haifa

    Mar 07, 2021 10:16

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, "baadhi ya wakati, na kutokana na kutapatapa, utawala wa Kizayuni hutoa madai makubwa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuliko uwezo ulionao ukidhani unaitisha Iran ilhali unajua, na kama haujui, basi ujumbe kwamba ikiwa utazidi kufanya upuuzi tutazisagasaga Tel Aviv na Haifa na kuzisawazisha na ardhi."

  • Kuanza uchunguzi wa ICC wa jinai za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Kuanza uchunguzi wa ICC wa jinai za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Mar 05, 2021 07:04

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, ICC, imeanzisha uchunguzi kuhusu jinai za kivita zilizofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu.

  • Syria yatuma barua mbili kwa Baraza la Usalama katika kipindi cha masaa 72

    Syria yatuma barua mbili kwa Baraza la Usalama katika kipindi cha masaa 72

    Mar 04, 2021 00:43

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetuma barua mbili katika kipindi cha masaa 72 kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kulalamikia hujuma dhidi ya mji wa Damascus.

  • Gantz ahofia hatua ya mahakama ya ICC dhidi ya maafisa wa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Gantz ahofia hatua ya mahakama ya ICC dhidi ya maafisa wa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Mar 03, 2021 10:03

    Waziri wa vita wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amesema ana wasiwasi juu ya hatua inayoweza kuchukiuliwa na Mahakama ya Kimataifa Jinai ICC dhidi ya maafisa wa utawala huo na akaongeza kuwa, upo uwezekano wa mahakama ya The Hague kuwafuatilia kisheria mamia ya maafisa wa Israel katika faili la jinai za kivita dhidi ya Palestina.

  • Kuongezeka harakati baina ya mhimili wa mapatano wa Kiarabu na utawala haramu wa Israel

    Kuongezeka harakati baina ya mhimili wa mapatano wa Kiarabu na utawala haramu wa Israel

    Feb 26, 2021 23:15

    Utata na kutokuwa wazi serikali mpya ya Marekani katika siasa zake za kigeni kuhusiana na eneo la Asia Magharibi ni jambo ambalo limepelea kuongezeka kwa mara nyingine harakati za mhimili wa mapatano wa Kiarabu na utawala haramu wa Israel.

  • Saudia yaongeza kasi ya kutangaza uhusiano wa kawaida na Wazayuni

    Saudia yaongeza kasi ya kutangaza uhusiano wa kawaida na Wazayuni

    Feb 25, 2021 23:21

    Chombo kimoja cha utawala wa Kizayuni wa Israel kimefichua kuwa viongozi wa Saudi Arabia wameongeza kasi ya kuharakisha kutangaza uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni kwani wanahofia misimamo ya kisiasa ya serikali ya hivi sasa Marekani.

  • HAMAS: Quds ni mji mkuu wa milele wa Palestina

    HAMAS: Quds ni mji mkuu wa milele wa Palestina

    Feb 23, 2021 23:12

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesisitiza kuwa, siasa za utawala wa Kizayuni wa Israel za kuiyahudisha Quds zimeshindwa na kugonga mwamba na kwamba, Quds utabakia kuwa mji mkuu wa milele wa Palestina.

  • Hamas: Kubadilishana mateka, njia pekee ya Israel kuwapata mateka wake

    Hamas: Kubadilishana mateka, njia pekee ya Israel kuwapata mateka wake

    Feb 19, 2021 03:41

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni itawapata wanajeshi wake waliotekwa nyara kupitia tu mpango wa kubadilishana mateka.

  • Video ya Hizbullah iliyokashifu vituo vya kijeshi vya Israel ndani ya miji yazusha taharuki

    Video ya Hizbullah iliyokashifu vituo vya kijeshi vya Israel ndani ya miji yazusha taharuki

    Feb 18, 2021 22:54

    Kwa mara ya kwanza, harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa mkanda wa video unaoonyesha kambi na vituo vya kijeshi vya jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ndani ya miji ya ardhi hizo za Palestina unazozikalia kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS