Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • HAMAS yalaani njama ya kuasisi jumuiya ya jamii za Mayahudi katika nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi

    HAMAS yalaani njama ya kuasisi jumuiya ya jamii za Mayahudi katika nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi

    Feb 16, 2021 09:09

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani mpango wa kuasisi jumuiya ya jamii za Mayahudi katika nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi.

  • Watunisia waandamana wakipinga kuanzishwa uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Watunisia waandamana wakipinga kuanzishwa uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Feb 15, 2021 06:59

    Wananchi waliokuwa na hasira wa Tunisia wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tunis, wakipinga hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala haramu wa Israel.

  • Palestina yataka kuharakishwa kufuatiliwa jinai za kivita za Israel

    Palestina yataka kuharakishwa kufuatiliwa jinai za kivita za Israel

    Feb 15, 2021 04:21

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina jana usiku ilitoa tamko na kutaka kuharakishwa kufuatiliwa jinai za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina.

  • Oman: Hatuna haraka ya kupanua uhusiano wetu na Israel

    Oman: Hatuna haraka ya kupanua uhusiano wetu na Israel

    Feb 12, 2021 23:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman amesema, nchi yake haina haraka ya kupanua uhusiano wake na Israel na wala haikusudii kuchukua hatua ya kufanya hivyo kwa sasa.

  • Netanyahu aahidi kuteua waziri wa kwanza Mwislamu katika serikali ya Israel, iwapo atashinda

    Netanyahu aahidi kuteua waziri wa kwanza Mwislamu katika serikali ya Israel, iwapo atashinda

    Feb 06, 2021 08:34

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni ameahidi kuwa iwapo atashinda uchaguzi ujao huko Israel atateua waziri wa kwanza Mwarabu na Mwislamu katika serikali ya utawala huo.

  • Netanyahu ahamakishwa na hukumu ya mahakama ya ICC

    Netanyahu ahamakishwa na hukumu ya mahakama ya ICC

    Feb 06, 2021 04:07

    Benjamin Netanyahu, waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ameshindwa kuficha hamaki zake baada ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kutoa hukumu kwa manufaa ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.

  • Polisi wa utawala wa Kizayuni wawaua shahidi kwa kuwapiga risasi vijana wawili Wapalestina

    Polisi wa utawala wa Kizayuni wawaua shahidi kwa kuwapiga risasi vijana wawili Wapalestina

    Feb 02, 2021 04:02

    Polisi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi kwa kuwapiga risasi vijana wawili Wapalestina baada ya kuvamia eneo moja katika mji Tamra kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Maulamaa wa Mauritania watoa Fatuwa  ya kuharamisha uhusiano na Israel

    Maulamaa wa Mauritania watoa Fatuwa ya kuharamisha uhusiano na Israel

    Feb 01, 2021 08:30

    Maulamaa na Maimamu wa Swala za Jamaa wasiopungua 200 nchini Mauritania wametoa Fatuwa inayorahamisha kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawaa dhalimu wa Israel.

  • Indhari ya makundi ya muqawama ya Palestina kwa utawala wa Kizayuni

    Indhari ya makundi ya muqawama ya Palestina kwa utawala wa Kizayuni

    Jan 20, 2021 08:35

    Makundi ya muqawama katika Ukanda wa Ghaza yamesema kuwa umoja ni njia pekee ya kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni dhidi ya kadhia ya Palestina.

  • Spika wa Bunge la Kuwait: Nchi yetu inapinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel

    Spika wa Bunge la Kuwait: Nchi yetu inapinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel

    Jan 20, 2021 04:21

    Spika wa Bunge la Kuwait amesisitiza kwa mara nyingine tena kwamba, msimamo wa nchi yake kuhusiana na Palestina uko thabiti na si wenye kubadilika na kwamba, nchi hiyo inapinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS