Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Makumi wauawa na kujeruhiwa huko Halab Syria katika mashambulizi ya magaidi wanaoungwa mkono na Uturuki

    Makumi wauawa na kujeruhiwa huko Halab Syria katika mashambulizi ya magaidi wanaoungwa mkono na Uturuki

    Mar 22, 2021 08:18

    Makumi ya watu wameuawa na wengine kujeruhiwa katika mashambulizi ya makombora yaliyofanywa akatika baadhi ya maeneo ya mji wa Halab huko Syria na magaidi wenye silaha wanaongwa mkono na Uturuki.

  • Uturuki: Israel ni mkiukaji wa sheria za kimataifa

    Uturuki: Israel ni mkiukaji wa sheria za kimataifa

    Mar 20, 2021 09:39

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imesema mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kupora ardhi na kubomoa nyumba za Wapalestina unakanyaga wazi sheria za kimataifa.

  • Iraq yaitahadharisha Uturuki kuhusu mashambulizi dhidi ya Sinjar

    Iraq yaitahadharisha Uturuki kuhusu mashambulizi dhidi ya Sinjar

    Feb 16, 2021 02:41

    Msemaji wa kikosi cha oparesheni za pamoja cha Iraq ameitahadharisha Uturuki kuhusu oparesheni ya jeshi katika eneo la Sinjar mkoani Nainawa huko Iraq na kueleza kuwa, Baghdad itachukua hatua zote za lazima iwapo itakabiliwa na shambulizi au uvamizi wowote wa nchi ajinabi.

  • Uturuki: Marekani ndiyo iliyopanga jaribio lililofeli la mapinduzi ya kijeshi 2016

    Uturuki: Marekani ndiyo iliyopanga jaribio lililofeli la mapinduzi ya kijeshi 2016

    Feb 05, 2021 08:02

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uturuki ameituhumu Marekani kuwa ndio iliyopanga jaribio lililofeli la mapinduzi ya kijeshi la mwaka 2016, ambalo serikali ya Ankara imemhusisha nalo khatibu wa Kiislamu Fethullah Gulen anayeishi nchini Marekani.

  • Rais wa Uturuki: Jamii ya kimataifa ikomeshe uenezwaji chuki dhidi ya Uislamu

    Rais wa Uturuki: Jamii ya kimataifa ikomeshe uenezwaji chuki dhidi ya Uislamu

    Jan 28, 2021 07:25

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amekosoa vyombo vya kijamii vya Magharibi kugeuzwa kuwa jukwaa la kuenezea chuki dhidi ya Uislamu na chuki dhidi ya wageni na akaitaka jamii ya kimataifa ichukue hatua kuzuia mwenendo huo.

  • Wasi wasi wa viongozi wa Ankara kuhusu kuharibika uhusiano wa Uturuki na Umoja wa Ulaya

    Wasi wasi wa viongozi wa Ankara kuhusu kuharibika uhusiano wa Uturuki na Umoja wa Ulaya

    Jan 25, 2021 02:29

    Licha ya kuongezeka kila siku hitilafu baina ya Uturuki na Umoja wa Ulaya lakini bado viongozi wa Ankara wanafuatilia juhudi za kupewa uanachama katika umoja huo.

  • Ishara za mabadiliko katika siasa za kieneo za Saudi Arabia

    Ishara za mabadiliko katika siasa za kieneo za Saudi Arabia

    Jan 20, 2021 02:39

    Sambamba na kumalizika kipindi cha uongozi wa Donald Trump nchini Marekani, kumedhihirika bayana ishara za mabadiliko katika siasa na sera za kieneo za Saudi Arabia.

  • Israel yaishurutisha Uturuki iifunge ofisi ya HAMAS ili kurejesha uhusiano kamili

    Israel yaishurutisha Uturuki iifunge ofisi ya HAMAS ili kurejesha uhusiano kamili

    Jan 19, 2021 11:26

    Gazeti moja la Kiebrania limeripoti kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umetoa sharti kwa Uturuki la kuifunga ofisi ya HAMAS mjini Istanbul ili kuanzisha tena uhusiano kamili na nchi hiyo.

  • Lebanon yazishutumu Uturuki na Israel kuifanyia utapeli

    Lebanon yazishutumu Uturuki na Israel kuifanyia utapeli

    Jan 17, 2021 13:21

    Wizara ya Viwanda ya Libanon imezishutumu Uturuki na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuitapeli na kuwadanganya watumiaji wa bidhaa za madola hayo katika masoko ya kigeni.

  • Malengo ya safari ya ghafla ya Saad Hariri nchini Uturuki

    Malengo ya safari ya ghafla ya Saad Hariri nchini Uturuki

    Jan 10, 2021 09:16

    Saad Hariri, waziri mkuu mteule wa Lebanon ambaye amepewa jukumu la kuunda serikali, siku ya Ijumaa alifanya safari ya ghafla na ambayo haikuwa imetangazwa kabla kuelekea nchini Uturuki ambako alikutana na kufanya mazungumzo na rais wa nchi hiyo Recep Tayyip Erdoğan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS