-
Bajeti mpya ya serikali ya Marekani kwa wapinzani wa serikali ya Venezuela
Jul 18, 2019 02:22Serikali ya Marekani imepanga kuwapatia wapinzani wa serikali nchini Venezuela bajeti ya zaidi ya dola milioni 40 kwa ajili ya kuendeshea harakati zao.
-
Sisitizo la wapinzani wa Venezuela la kuendelea kushiriki katika mazungumzo na serikali ya Caracas
Jul 17, 2019 02:30Baada ya duru tatu za mazungumzo baina ya serikali ya Venezuela na wapinzani yenye lengo la kufikia utatuzi wa pamoja na kuikwamua nchi hiyo katika kinamasi cha mgogoro wa kisiasa, wapinzani wa nchi hiyo wamethibitisha kwamba, wataendelea kushiriki katika mazungumzo na wawakilishi wa serikali huko nchini Barbados katika Bahari ya Caribbean.
-
Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa lalaani vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi mbalimbali
Jul 16, 2019 08:07Marekani imekuwa ikitumia fimbo vya vikwazo dhidi ya nchi mbalimbali duniani kwa ajili ya kufikia malengo yake ya kijuba na kimabavu.
-
Sisitizo la Rais Maduro la uwezekano wa kufikiwa makubaliano na wapinzani kwa sharti Marekani iache kuingilia mambo ya Venezuela
Jul 10, 2019 07:50Kuendelea mgogoro wa kisiasa wa Venezuela na kushindwa wapinzani kuiangusha serikali ya Rais Nicolas Maduro kumemfanya Juan Guaido, kiongozi wa upinzani nchini humo akubali pendekezo la upatanishi wa Norway na kufanyika mazungumzo baina ya wapinzani na wawakilishi wa serikali ya Caracas.
-
Sisitizo la kuendeleza mazungumzo ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa Venezuela
Jul 07, 2019 02:22Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ametilia mkozo azma ya serikali yake ya kuendeleza mazungumzo na wapinzani chini ya uwenyeji wa Norway.
-
Rais wa Venezuela asisitiza kuunga mkono mazungumzo na wapinzani
Jul 06, 2019 08:16Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amesisitiza kuwa, serikali yake inaunga mkono na kuheshimu mchakato wa kuendelezwa mazungumzo na wapinzani wake kwa usimamizi wa Norway.
-
Kurejea balozi wa Ujerumani nchini Venezuela, dalili nyingine ya kuimarika serikali ya Nicolás Maduro
Jul 04, 2019 02:44Sambamba na kurejea uthabiti wa kiwango fulani nchini Venezuela na kuimarika nafasi ya serikali ya Rais Nicolás Maduro, sasa nchi mbalimbali zinakusudia kuboresha uhusiano wao na serikali ya Caracas.
-
Mazungumzo baina ya serikali na wapinzani nchini Venezuela kuanza karibuni hivi
Jul 01, 2019 01:31Mazungumzo baina ya wawakilishi wa serikali na wapinzani nchini Venezuela yanatarajiwa kuanza hivi karibuni lengo likiwa ni kufanya juhudi za kuupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo.
-
Raia wa Venezuela wamzomea Juan Guaidó, alazimika kufuta hotuba yake
Jun 30, 2019 04:44Raia wa Venezuela wamemlazimisha Juan Guaidó kiongozi wa upinzani afutilie mbali hotuba yake baada ya kumzomea na kuonyesha upinzani dhidi yake.
-
Kuendelea juhudi za utatuzi wa mgogoro wa Venezuela
Jun 16, 2019 10:29Baada ya wapinzani wa Rais Nicolás Maduro wa Venezuela kufeli katika njama zao na kisha nchi hiyo kukumbwa na mkwamo wa kisiasa, kumeanza juhudi za kimataifa za kuondoa mkwamo huo.