Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • Bajeti mpya ya serikali ya Marekani kwa wapinzani wa serikali ya Venezuela

    Bajeti mpya ya serikali ya Marekani kwa wapinzani wa serikali ya Venezuela

    Jul 18, 2019 02:22

    Serikali ya Marekani imepanga kuwapatia wapinzani wa serikali nchini Venezuela bajeti ya zaidi ya dola milioni 40 kwa ajili ya kuendeshea harakati zao.

  • Sisitizo la wapinzani wa Venezuela la kuendelea kushiriki katika mazungumzo na serikali ya Caracas

    Sisitizo la wapinzani wa Venezuela la kuendelea kushiriki katika mazungumzo na serikali ya Caracas

    Jul 17, 2019 02:30

    Baada ya duru tatu za mazungumzo baina ya serikali ya Venezuela na wapinzani yenye lengo la kufikia utatuzi wa pamoja na kuikwamua nchi hiyo katika kinamasi cha mgogoro wa kisiasa, wapinzani wa nchi hiyo wamethibitisha kwamba, wataendelea kushiriki katika mazungumzo na wawakilishi wa serikali huko nchini Barbados katika Bahari ya Caribbean.

  • Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa lalaani vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi mbalimbali

    Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa lalaani vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi mbalimbali

    Jul 16, 2019 08:07

    Marekani imekuwa ikitumia fimbo vya vikwazo dhidi ya nchi mbalimbali duniani kwa ajili ya kufikia malengo yake ya kijuba na kimabavu.

  • Sisitizo la Rais Maduro la uwezekano wa kufikiwa makubaliano na wapinzani kwa sharti Marekani iache kuingilia mambo ya Venezuela

    Sisitizo la Rais Maduro la uwezekano wa kufikiwa makubaliano na wapinzani kwa sharti Marekani iache kuingilia mambo ya Venezuela

    Jul 10, 2019 07:50

    Kuendelea mgogoro wa kisiasa wa Venezuela na kushindwa wapinzani kuiangusha serikali ya Rais Nicolas Maduro kumemfanya Juan Guaido, kiongozi wa upinzani nchini humo akubali pendekezo la upatanishi wa Norway na kufanyika mazungumzo baina ya wapinzani na wawakilishi wa serikali ya Caracas.

  • Sisitizo la kuendeleza mazungumzo ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa Venezuela

    Sisitizo la kuendeleza mazungumzo ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa Venezuela

    Jul 07, 2019 02:22

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ametilia mkozo azma ya serikali yake ya kuendeleza mazungumzo na wapinzani chini ya uwenyeji wa Norway.

  • Rais wa Venezuela asisitiza kuunga mkono mazungumzo na wapinzani

    Rais wa Venezuela asisitiza kuunga mkono mazungumzo na wapinzani

    Jul 06, 2019 08:16

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amesisitiza kuwa, serikali yake inaunga mkono na kuheshimu mchakato wa kuendelezwa mazungumzo na wapinzani wake kwa usimamizi wa Norway.

  • Kurejea balozi wa Ujerumani nchini Venezuela, dalili nyingine ya kuimarika serikali ya Nicolás Maduro

    Kurejea balozi wa Ujerumani nchini Venezuela, dalili nyingine ya kuimarika serikali ya Nicolás Maduro

    Jul 04, 2019 02:44

    Sambamba na kurejea uthabiti wa kiwango fulani nchini Venezuela na kuimarika nafasi ya serikali ya Rais Nicolás Maduro, sasa nchi mbalimbali zinakusudia kuboresha uhusiano wao na serikali ya Caracas.

  • Mazungumzo baina ya serikali na wapinzani nchini Venezuela kuanza karibuni hivi

    Mazungumzo baina ya serikali na wapinzani nchini Venezuela kuanza karibuni hivi

    Jul 01, 2019 01:31

    Mazungumzo baina ya wawakilishi wa serikali na wapinzani nchini Venezuela yanatarajiwa kuanza hivi karibuni lengo likiwa ni kufanya juhudi za kuupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo.

  • Raia wa Venezuela wamzomea Juan Guaidó, alazimika kufuta hotuba yake

    Raia wa Venezuela wamzomea Juan Guaidó, alazimika kufuta hotuba yake

    Jun 30, 2019 04:44

    Raia wa Venezuela wamemlazimisha Juan Guaidó kiongozi wa upinzani afutilie mbali hotuba yake baada ya kumzomea na kuonyesha upinzani dhidi yake.

  • Kuendelea juhudi za utatuzi wa mgogoro wa Venezuela

    Kuendelea juhudi za utatuzi wa mgogoro wa Venezuela

    Jun 16, 2019 10:29

    Baada ya wapinzani wa Rais Nicolás Maduro wa Venezuela kufeli katika njama zao na kisha nchi hiyo kukumbwa na mkwamo wa kisiasa, kumeanza juhudi za kimataifa za kuondoa mkwamo huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS