Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • Kuendelea juhudi za utatuzi wa mgogoro wa Venezuela

    Kuendelea juhudi za utatuzi wa mgogoro wa Venezuela

    Jun 16, 2019 05:59

    Baada ya wapinzani wa Rais Nicolás Maduro wa Venezuela kufeli katika njama zao na kisha nchi hiyo kukumbwa na mkwamo wa kisiasa, kumeanza juhudi za kimataifa za kuondoa mkwamo huo.

  • Ukwamishaji mambo wa Juan Guaidó kuhusu mgogoro wa kisiasa wa Venezuela

    Ukwamishaji mambo wa Juan Guaidó kuhusu mgogoro wa kisiasa wa Venezuela

    Jun 09, 2019 08:05

    Kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Venezuela na kadhalika kushindwa wapinzani wa nchi hiyo kumng'oa madarakani Rais Nicolás Maduro, kumepelekea Juan Guaidó, kiongozi wa upinzani kukubali pendekezo la upatanishi wa Norway na kuanza mazungumzo ya wawakilishi wa serikali na wapinzani huko mjini Oslo.

  • Viongozi wa Venezuela, Cuba wajadili njia za kukabiliana na Marekani

    Viongozi wa Venezuela, Cuba wajadili njia za kukabiliana na Marekani

    Jun 08, 2019 07:21

    Makamo wa Rais wa chama tawala cha Venezuela Diosdado Cabello amekutana na kiongozi wa Chama cha Kikomunisti cha Cuba, Raul Castro kwa lengo la kujadili njia za kukabiliana na uhasama wa Marekani dhidi ya nchi zao.

  • Maduro aliamuru Jeshi la Venezuela kuwa tayari kukabiliana na askari vamizi wa Marekani

    Maduro aliamuru Jeshi la Venezuela kuwa tayari kukabiliana na askari vamizi wa Marekani

    May 23, 2019 06:38

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ameliamuru jeshi la nchi hiyo kujiweka tayari kukabiliana na hujuma tarajiwa ya Marekani. Aidha ametoa amri kwa makachero jeshini kuwasaka na kuwatia mbaroni askari wasaliti katika jeshi.

  • Jeshi la Venezuela lasema liko tayari kukabiliana na Marekani

    Jeshi la Venezuela lasema liko tayari kukabiliana na Marekani

    May 19, 2019 03:25

    Jeshi la Venezuela limetangaza utiifu kamili kwa serikali ya Rais Nicholas Maduro wa nchi hiyo na kusema liko na silaha mkononi tayari kukabiliana na hujuma yoyote ya kijeshi dhidi ya nchi hiyo.

  • Ubunifu mpya wa kisiasa kwa ajili ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Venezuela

    Ubunifu mpya wa kisiasa kwa ajili ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Venezuela

    May 18, 2019 20:49

    Sambamba na kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Venezuela na kushindwa harakati za wapinzani na serikali ya Marekani za kuiangusha serikali ya mrengo wa kushoto ya Rais Nicolas Maduro, harakati mpya za kimataifa za kuutatua mgogoro huo zimeshika kasi.

  • Venezuela yaweka kando matumizi ya sarafu ya dola

    Venezuela yaweka kando matumizi ya sarafu ya dola

    May 09, 2019 23:27

    Rais wa Venezuela ametangaza kuwa nchi hiyo inaweka kando matumizi ya sarafu ya dola ya Marekani kwa sababu haitaki kutegemea mfumo wa fedha wa nchi ajinabi.

  • Iran yailaani Marekani kwa kutumia njia zilizo kinyume cha sheria kuzishinikiza nchi huru

    Iran yailaani Marekani kwa kutumia njia zilizo kinyume cha sheria kuzishinikiza nchi huru

    May 09, 2019 07:59

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani uhasama wa Marekani dhidi ya Cuba hasa wa kuondoa marufuku ya muda ya utekelezwaji wa Kipengee cha Tatu cha Sheria Helms-Burton na kusema: "Kwa hatua yake hiyo, Washington kwa mara nyingine imeonyesha kuwa, inatumia kila wenzo ulio kinyume cha sheria kuzishinikiza nchi huru."

  • Maduro aagiza kusimamiwa viwanja vya ndege katika mji mkuu wa Venezuela

    Maduro aagiza kusimamiwa viwanja vya ndege katika mji mkuu wa Venezuela

    May 08, 2019 07:44

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Venezuela amesema kuwa serikali ya nchi hiyo itasimamia viwanja vitatu vya ndege vilivyopo katika mji mkuu wa nchi hiyo kufuatia agizo la Rais wa nchi hiyo.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela: Inatupasa kujifunza kutoka Iran

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela: Inatupasa kujifunza kutoka Iran

    May 07, 2019 20:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela sambamba na kusisitiza umuhimu wa kupanua ushirikiano katika uga wa kijeshi na nishati kati ya nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesema kuwa Caracas inapaswa kujifundisha masomo mengi kutoka Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS