Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • Onyo kali la Moscow dhidi ya uingiliaji wa kijeshi wa Washington nchini Venezuela

    Onyo kali la Moscow dhidi ya uingiliaji wa kijeshi wa Washington nchini Venezuela

    May 03, 2019 07:38

    Katika kipindi hiki cha uongozi wa Rais Donald Trump wa Marekani, nchi hiyo imeongeza maradifu juhudi zake za kutaka kuiangusha serikali halali ya mrengo wa kushoto ya Venezuela inayoongozwa na Rais Nicolas Maduro.

  • Iran yalaani jaribio la Marekani la kutaka kuipindua serikali ya Venezuela

    Iran yalaani jaribio la Marekani la kutaka kuipindua serikali ya Venezuela

    May 03, 2019 03:57

    Iran imelaani jaribio la hivi karibuni la Marekani la kutaka kuipindua serikali halali ya Rais Nicolas Maduro wa Venezuela.

  • Russia yalaani uingiliaji haribifu wa Marekani nchini Venezuela

    Russia yalaani uingiliaji haribifu wa Marekani nchini Venezuela

    May 02, 2019 06:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergei Lavrov amelaani vikali uungaji mkono haribifu wa Marekani kwa kinara wa upinzani nchini Venezuela Juan Guaido ambaye alikuwa amedai amepata uungaji mkono wa jeshi katika jaribio lililofeli la kumpindua Rais Nicolas Maduro.

  • Kushindwa tena mapinduzi ya Marekani nchini Venezuela

    Kushindwa tena mapinduzi ya Marekani nchini Venezuela

    May 01, 2019 12:14

    Jana Jumanne Caracas, mji mkuu wa Venezuela ulipitia siku ngumu na iliyojaa mitihani. Kwa mara nyingine Marekani na vibaraka wake wa ndani wanaoongozwa na Juan Guaido na ambao wanaendesha vurugu na upinzani dhidi ya serikali halali ya nchi hiyo walifanya jaribio la mapinduzi dhidi ya serikali ya mrengo wa kushoto inayoongozwa na Nicolas Maduro, kwa kushirikiana na baadhi ya wanajeshi, lakini kwa mara nyingine tena Marekani ikawa imeshindwa katika jaribio lake hilo la mapinduzi nchini Venezuela.

  • Maduro alipongeza jeshi la Venezuela kwa kuzima jaribio la mapinduzi

    Maduro alipongeza jeshi la Venezuela kwa kuzima jaribio la mapinduzi

    May 01, 2019 07:27

    Rais Nicolás Maduro wa Venezuela amelipongeza jeshi la nchi hiyo kwa kuzima jaribio la mapinduzi dhidi ya serikali yake, harakati ambazo anasema zinaungwa mkono na Marekani.

  • Mwendelezo wa Marekani wa kutaka kupora vyanzo vya utajiri wa Venezuela

    Mwendelezo wa Marekani wa kutaka kupora vyanzo vya utajiri wa Venezuela

    Apr 29, 2019 04:08

    Marekani bado inaendelea kufanya njama za kupanua wigo wa vikwazo na mashinikizo yake dhidi ya Venezuela kwa lengo la kumshinikiza Rais Nicolás Maduro aondoke madarakani nchini humo ili iweze kupenya na kupora utajiri wa taifa hilo la Amerika ya Latini.

  • Marekani yazidisha mashinikizo dhidi ya Venezuela kwa kuiwekea vikwazo Benki Kuu ya nchi hiyo

    Marekani yazidisha mashinikizo dhidi ya Venezuela kwa kuiwekea vikwazo Benki Kuu ya nchi hiyo

    Apr 19, 2019 07:48

    Ikiwa ni katika kuzidisha mashinikizo ya Marekani dhidi ya Venezuela, John Bolton, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Marekani amesema kuwa nchi hiyo imeiweka Benki Kuu ya Venezuela katika orodha ya vikwazo ya Washington.

  • Waziri wa Ulinzi Venezuela: Umoja wa jeshi, wananchi na serikali utaishinda Marekani

    Waziri wa Ulinzi Venezuela: Umoja wa jeshi, wananchi na serikali utaishinda Marekani

    Apr 15, 2019 13:06

    Waziri wa Ulinzi wa Venezuela, Vladimir Padrino López na katika kuzuia kushtadi mashinikizo na uingiliaji wa Marekani dhidi ya serikali ya Rais Nicolás Maduro, ametaka kushadidishwa umoja wa wananchi, jeshi na serikali kwa ajili ya kukabiliana na mashinikizo hayo.

  • Uungaji mkono wa jeshi la Venezuela kwa mpango wa Rais Maduro wa kufanyika mazungumzo ya kitaifa nchini humo

    Uungaji mkono wa jeshi la Venezuela kwa mpango wa Rais Maduro wa kufanyika mazungumzo ya kitaifa nchini humo

    Apr 10, 2019 14:36

    Mgogoro wa kisiasa nchini Venezuela uliibuka tangu tarehe 10 Januari mwaka huu, wakati Rais Nicolás Maduro wa nchi hiyo aliposhinda kwa kuchaguliwa kwa mara ya pili na kuapishwa kuwa rais wa taifa hilo la Amerika ya Latini, katika uchaguzi ambao ulisusiwa na wapinzani.

  • Kuchukua wigo wa kimataifa mgogoro wa kisiasa wa Venezuela

    Kuchukua wigo wa kimataifa mgogoro wa kisiasa wa Venezuela

    Apr 07, 2019 07:03

    Mgogoro wa kisiasa wa sasa nchini Venezuela ulianza 10 Januari mwaka huu wakati Rais Nicolas Maduro alipoapishwa baada ya kushinda katika uchaguzi wa Rais uliosusiwa na wapinzani na hivyo kuchukua usukani wa kuiongoza nchi hiyo katika duru ya pili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS