-
Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote, mwanzo mpya na changamoto nyingi
Sep 19, 2016 13:14Kikao cha 17 cha viongozi wa Harakati ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM), kilimaliza shughuli zake siku ya Jumapili katika kisiwa cha St. Margarita nchini Venezuela kwa kutoa taarifa ya pamoja.
-
Mjumbe wa Venezuela ashindwa kuvumilia jinai za Israel
May 08, 2016 03:47Wawakilishi wa Venezuela na utawala wa Kizayuni wa Israel wameshambuliana kwa maneno katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusiana na Palestina.
-
Venezuela yamuita nyumbani mwanadiplomasia wake wa ngazi za juu US
Mar 10, 2016 07:57Venezuela imemuita nyumbani mwanadiplomasia wake wa ngazi za juu nchini Marekani kulalamikia hatua ya Washington ya kutangaza vikwazo vipya dhidi ya maafisa wakuu wa nchi hiyo.