• Burundi yapasisha sheria kali ya kuzidhibiti asasi za kigeni

    Burundi yapasisha sheria kali ya kuzidhibiti asasi za kigeni

    Dec 25, 2016 04:14

    Bunge la Burundi limepasisha muswada wa sheria inayotaka kudhibitiwa asasi zisizo za kiserikali za kigeni, siku chache baada ya Rais Pierre Nkurunziza wa nchi hiyo kudai kuwa asasi hizo zinafanya kampeni kubwa dhidi ya serikali yake.