-
Umoja wa Ulaya wazidi kuisusia Israel, Mogherini akataa kuonana na walowezi wa Kizayuni
Sep 10, 2018 07:24Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amekataa ombi la kundi moja la walowezi wa Kizayuni waliotaka kuonana naye mjini Brussels, Ubalgiji.
-
OIC yataka kusitishwa ujenzi wa vitongozi vya walowezi wa Kizayuni
Aug 29, 2018 07:46Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetoa wito wa kusitishwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika maeneo ya Wapalestina.
-
China: Israel ikomeshe ujenzi wa vitongoji vya walowezi katika ardhi za Wapalestina
Jul 26, 2018 14:17Mwakilishi wa China katika Umoja wa Mataifa ameutaka utawala haramu wa Israel uheshimu mikataba ya kimataifa na kukomesha ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Wapalestina.