Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waziri Mkuu

  • Al Kadhimi: Arubaini ya Imam Hussein ni kilele cha upinzani dhidi ya ukiukaji wa haki za binadamu

    Al Kadhimi: Arubaini ya Imam Hussein ni kilele cha upinzani dhidi ya ukiukaji wa haki za binadamu

    Sep 28, 2021 03:11

    Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa shughuli ya siku ya Arubaini ya Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (as) ni kilele cha upinzani wa wanadamu dhidi ya ukiukwaji wa haki za binadamu.

  • Scotland kuanzisha tena mkakati wa kujitenga na Uingereza

    Scotland kuanzisha tena mkakati wa kujitenga na Uingereza

    Sep 08, 2021 08:55

    Waziri wa Kwanza wa Scotland amesema kuwa ana nia ya kuitisha kura ya maonii ya kujitenga na Uingereza hadi kufikia mwaka 2023.

  • Johnson akosoa uamuzi wa Marekani kuhusu Afghanistan

    Johnson akosoa uamuzi wa Marekani kuhusu Afghanistan

    Aug 15, 2021 10:01

    Sambamba na kundi la Taliban kuendelea kuteka maeneo zaidi huko Afghanistan na kuongezeka wasiwasi kuhusu mustakbali wa nchi hiyo, Boris Johnson, Waziri Mkuu wa Uingereza alisema Ijumaa kwamba hali ya Afghanistan ni mbaya mno na kwamba inatokana na uamuzi wa Rais Joe Biden wa kuondoa askari wa Marekani nchini humo.

  • Poland yakataa kulipa fidia kwa Marekani na Israel

    Poland yakataa kulipa fidia kwa Marekani na Israel

    Aug 15, 2021 02:24

    Waziri Mkuu wa Poland, Mateusz Morawiecki amepinga ukosoaji uliolenga hatua ya Bunge la nchi hiyo ya kupasisha sheria mbili zinazohusiana na umiliki wa vyombo vya habari na Holocaust na kusema kuwa, hakuna uwezekano wa kuruhusu utawala wa Kizayuni wa Israel kumiliki vyombo vya habari vya Poland.

  • Kutokea mapinduzi baridi nchini Tunisia

    Kutokea mapinduzi baridi nchini Tunisia

    Jul 28, 2021 01:37

    Katika hatua inayotathminiwa na wajuzi wa mambo kama mapinduzi baridi, Rais Kais Saied wa Tunisia amechukua hatua kadhaa kama kumfuta kazi Waziri Mkuu wa nchi hiyo Hichem Mechichi, kuvunja baraza la mawaziri, kusitisha shughuli za Bunge na kinga ya kisiasa ya Wabunge na kisha kudhibiti madaraka yote ya nchi.

  • Serikali ya Iraq yawatia mbaroni magaidi waliohusika na shambulio la umwagaji damu katika kiunga cha Sadr

    Serikali ya Iraq yawatia mbaroni magaidi waliohusika na shambulio la umwagaji damu katika kiunga cha Sadr

    Jul 25, 2021 02:58

    Waziri Mkuu wa Iraq Mustafa al Kadhimi amesema, vyombo vya usalama vimewagundua na kuwatia mbaroni watu waliohusika na shambulio la kigaidi la mripuko wa bomu uliotokea kwenye kitongoji cha Sadr katika mji mkuu wa nchi hiyo, Baghdad.

  • Mfalme wa Jordan aonana na waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni

    Mfalme wa Jordan aonana na waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni

    Jul 09, 2021 12:38

    Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimetangaza kuwa, mfalme wa Jordan ameonana na waziri mkuu wa Israel katika mji mkuu Amman.

  • Ehud Olmert: Kuna uwezekano wa kutokea Intifadha mpya ya Wapalestina

    Ehud Olmert: Kuna uwezekano wa kutokea Intifadha mpya ya Wapalestina

    May 01, 2021 08:00

    Ehud Olmert, Waziri Mkuu wa zamani wa utawala haramu wa Israel ametahadharisha juu ya uwezekano wa kutokea Intifadha mpya ya Wapalestina.

  • Waziri Mkuu wa Iraq asisitiza kufanyika uchaguzi kama ilivyopangwa

    Waziri Mkuu wa Iraq asisitiza kufanyika uchaguzi kama ilivyopangwa

    Mar 29, 2021 04:20

    Waziri Mkuu wa Iraq amesisitiza kuwa uchaguzi wa bunge nchini humo utafanyika kama ilivyopangwa yaani tarehe 10 mwezi Oktoba mwaka huu.

  • Waziri Mkuu wa Iraq atoa hotuba kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mashambulizi ya Halabcha

    Waziri Mkuu wa Iraq atoa hotuba kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mashambulizi ya Halabcha

    Mar 16, 2021 12:27

    Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa kuadhimisha kumbukumbu ya mashambulizi ya kemikali yaliyotekelezwa katika mji wa Halabcha katika eneo la Kurdistan huko Iraq kunakumbushia kuuliwa maelfu ya raia na watu wasio na hatia wa eneo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS