Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Wizara ya Mambo ya Nje

  • China yaapa 'kupambana hadi mwisho' dhidi ya ushuru wa Trump

    China yaapa 'kupambana hadi mwisho' dhidi ya ushuru wa Trump

    Apr 08, 2025 09:45

    Wizara ya Biashara ya China imeionya Marekani dhidi ya kuingia katika msururu wa vikwazo vya kibiashara vya 'kujibishana mapigo' baada ya rais wa nchi hiyo Donald Trump kutishia kuweka ushuru wa ziada kwa bidhaa za China zinazoingizwa nchini Marekani.

  • Ripoti ya kila mwaka ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu uliofanywa na Marekani na Uingereza

    Ripoti ya kila mwaka ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu uliofanywa na Marekani na Uingereza

    Dec 16, 2024 06:52

    Kwa mujibu wa ripoti ya kila mwaka ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa Marekani na Uingereza, ripoti ambayo imeandaliwa kwa kutelekeza mswada uliopitishwa na Bunge la Iran mwaka 1391 Hijria Shamsia,

  • Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kwa mnasaba wa maadhimisho ya

    Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kwa mnasaba wa maadhimisho ya " Siku ya Muqawama wa Kiislamu"

    Aug 14, 2024 07:22

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa na kupongeza kuadhimishwa "Siku ya Muqawama wa Kiislamu."

  • Iran yatoa onyo kali kuhusu vitisho vya Israel dhidi ya Lebanon

    Iran yatoa onyo kali kuhusu vitisho vya Israel dhidi ya Lebanon

    Jun 29, 2024 12:55

    Kaimu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran ametahadharisha dhidi ya jaribio la utawala wa Kizayuni wa Israel la kupanua wigo wa vita na jinai katika maeneo mengine kwa lengo la kufidia kushindwa kwake katika Ukanda wa Gaza.

  • YouTube 'yajigonga' katika dai la uhuru wa maoni kwa kuifunga akaunti ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran

    YouTube 'yajigonga' katika dai la uhuru wa maoni kwa kuifunga akaunti ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran

    May 29, 2024 03:40

    Mtandao wa kijamii wa YouTube umeifuta akaunti rasmi ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kwa kisingizio cha kukiuka kanuni zake kufuatia hatua ya akaunti hiyo kuweka mkanda wa video wa lugha ya Kiingereza wenye anuani "Resistance, the only option for Palestine", yaani Muqawama ndilo chaguo pekee kwa Palestina.

  • Kiwewe cha Marekani kwa kuweko uhusiano wa karibu wa Russia, China na Iran

    Kiwewe cha Marekani kwa kuweko uhusiano wa karibu wa Russia, China na Iran

    Feb 18, 2023 02:37

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imetangaza kuwa, matamshi ya viongozi wa China kuhusiana na kuwa na urafiki usio na mipaka na Russia yamepelekea kuibuka wasiwasi nchini Marekani.

  • Radiamali kali ya Iran dhidi ya kushadidi hatua za chuki za madola ya Magharibi

    Radiamali kali ya Iran dhidi ya kushadidi hatua za chuki za madola ya Magharibi

    Dec 16, 2022 13:21

    Katika siku za hivi kariuni madola ya Magharibi yakiongozwa na Marekani yameshadidisha hatua na mashinikizo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yakitumia kama yanavyodai fursa ya kuibuka vurugu na machafuko hapa nchini.

  • Russia yasisitiza kuhamishwa makao makuu ya Umoja wa Mataifa kutoka New York

    Russia yasisitiza kuhamishwa makao makuu ya Umoja wa Mataifa kutoka New York

    Sep 05, 2022 07:34

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesisitiza kuwa Moscow inazingatia kikamilifu pendekezo la kuhamisha makao makuu ya Umoja wa Mataifa kutoka Marekani hadi sehemu nyingine.

  • Iran yawawekea vikwazo Wamarekani wanaounga mkono magaidi wa MKO

    Iran yawawekea vikwazo Wamarekani wanaounga mkono magaidi wa MKO

    Jul 17, 2022 03:35

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetangaza orodha mpya ya maafisa wa sasa na wa zamani wa serikali ya Marekani ambao kwa makusudi wamekuwa wakiunga mkono kundi la kigaidi la MKO lililo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Iran yamuita balozi wa India kulalamikia kauli za kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW

    Iran yamuita balozi wa India kulalamikia kauli za kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW

    Jun 06, 2022 03:36

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuita balozi wa India mjini Tehran kulalamikia vikali matamshi dhidi ya Mtume Mutukufu wa Uislamu, Muhammad SAW ambayo yalitolewa katika mdahalo wa televisheni huko India na kuibua hasira miongoni mwa Waislamu duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS