-
Halmashauri ya Viwango Zanzibar yahimiza kuboreshwa bidhaa + Sauti
Nov 16, 2018 02:51Taasisi ya Viwango Zanzibar imesisitizia udharura wa kuboreshwa bidhaa zinazozalishwa na zinazoingia visiwani humo ili kuwaepusha Wazanzibari na taathira mbaya za bidhaa zisizotimiza viwango. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar.
-
Wanafunzi 16,709 visiwani Zanzibar kufanya mitihani ya Kidato cha Nne mwaka huu + Sauti
Oct 31, 2018 14:27Jumla ya wanafunzi 16,709 visiwani Zanzibar wiki ijayo wanatazamiwa kufanya mitihani yao ya taifa ya Kidato cha Nne. Mwandishi wetu wa Zanzibar, Harith Subeit na maelezo zaidi...
-
SAUTI, Serikali ya Tanzania yaazimia kulipatia jeshi la polisi vifaa vya kisasa kukabiliana na uhalifu ikiwemo sekta ya utalii
Oct 20, 2018 13:20Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema kuwa inayo azma ya kulipatia jeshi la polisi vitendea kazi kwa lengo la kukabiliana na changamoto za uhalifuu nchini humo.
-
SAUTI, mafunzo ya ndoa yaanza kutolewa Zanzibar ili kuzilinda Ndoa/ wakazi Wete Pemba, wazuia vazi la niqabu kuzuia uhalifu
Oct 19, 2018 12:27Siku chache baada ya kufunguliwa chuo cha mafunzo ya ndoa, Jumuiya ya Maimamu JUMAZA, imeanzisha program ya kutoa mafunzo hayo ili kunusuru ndoa katika jamii.
-
SAUTI, Ongezeko la talaka laifanya Jumuiya ya Maimamu Zanzibar JUMAZA kuzindua chuo cha maadili ya ndoa
Oct 16, 2018 15:02Kufuatia ongezeko la talaka kati ya wanandoa katika jamii visiwani Zanzibar, Jumuiya ya Maimamu JUMAZA imezindua chuo cha maadili ya ndoa na mtaala wake ambacho kitakuwa na jukumu la kutoa mafunzo bora ili kupunguza ongezeko hilo.
-
SAUTI, Waislamu Zanzibar wamepewa ushauri wa kutekeleza ibada ya Hija wakiwa bado wana nguvu
Sep 22, 2018 13:03Waislamu visiwani Zanzibar wametakiwa kwenda kutekeleza ibada ya Hija wakiwa bado wana nguvu ili kuepukana na changamoto wakati wa utekelezaji wa ibada hiyo.
-
SAUTI, Mufti wa Zanzibar Sheikh Omar Al Kaabi, awataka Waislamu kutoichezea ndoa ya Kiislamu.
Aug 10, 2018 12:03Mufti wa Zanzibar Saleh Omar Al Kaabi, amewataka Waislamu kuheshimu na kuienzi ndoa kwa ajili ya kujenga jamii bora yenye kufuata maamrisho ya Mwenyezi Mungu.
-
SAUTI, Serikali ya Zanzibar yafurahishwa na ziara ya ujumbe wa bunge la Iran, mahusiano pande mbili yanaimarika
Apr 19, 2018 12:33Serikali ya Zanzibar imeonyesha kufurahishwa kwake na ziara ya ujumbe wa bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran visiwani humo.
-
SAUTI, Msyria aliyekimbia vita na kuwasili Zanzibar, awa kivutio baada ya kufungua mgahawa
Mar 07, 2018 12:58Wazanzibar wameonyesha kuvutiwa na Msyria kwa jina la Twariq Muhammad Samir al-Abad ambaye baada ya kukimbia vita nchini kwao alielekea visiwani humo kwa ajili ya kuendeleza maisha yake.
-
SAUTI, Kamati ya maadili Zanzibar yaitaka serikali kuzifunga baa zilizo karibu na makazi ya watu na misikiti ili kunusuru jamii
Mar 02, 2018 13:46Kamati ya maadili ya Kiislamu visiwani Zanzibar imeitaka serikali kuchukua hatua kali dhidi ya watu wanaojenga baa za ufuska na ulevi karibu na makazi ya wananchi na misikini.