-
SAUTI, Ripoti ya matukio ya Kiislamu iliyoandaliwa na mwandishi wetu wa Zanzibar Harith Subeit
Feb 23, 2018 14:44Makumi ya Waislamu visiwani Zanzibar wakiwemo wanawake na wanaume wamehitimu masomo ya lugha ya Kiarabu, masomo ya Qur'an Tukufu na Suna za Mtume Muhammad (saw).
-
SAUTI, CUF yamjia juu Waziri wa Sheria Tanzania, Kabudi, yamtaka aisome upya katiba kuhusu mamlaka ya rais
Feb 08, 2018 12:07Chama cha wananchi CUF nchina Tanzania kimekosoa matamshi ya Waziri wa Sheria wa nchi hiyo, Palamagamba Kabudi bungeni mjini Dodoma aliyesema kwamba, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayo mamlaka kuingilia masuala ya ndani ya Zanzibar hata yasiyohusuu muungano.
-
Ajali ya ndege Zanzibar, marubani wawili wafariki dunia
Feb 02, 2018 12:48Marubani wawili wamefariki dunia katika ajali ya ndege ndogo iliyotokea katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Abeid Amani Karume visiwani Zanzibar.
-
Maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Jan 12, 2018 13:29Rais wa Zanzibar Dakta Ali Mohamed Shein aahidi elimu ya sekondari bila malipo
-
Wanawake wanaotalikiwa Zanzibar kupewa asilimia 50 ya mali walizochuma kwenye ndoa
Jan 09, 2018 13:28Wanawake wanaotalikiwa katika visiwa vya Zanzibar sasa watapewa asilimia 50 ya mali walizochuma wakiwa kwenye ndoa.
-
SAUTI, Serikali visiwani Zanzibar yatakiwa kusaidia harakati za kutokomeza vitendo vya udhalilishaji dhidi ya wasichana
Jan 08, 2018 14:26Jumuiya Ya Walimu wa Madrasa za Qur-an inayojishughulisha na kupiga vita vitendo vya udhalilishaji visiwani Zanzibar, imeiomba serakali ya mapinduzi ya Zanzibar kuweka Hukumu Kali Kwa Watu Wanaofanya vitendo vya Udhalilishaji dhidi ya wanawake na watoto.
-
SAUTI, Idhaa ya Kiswahili Redio Tehran yatunukiwa tuzo ya kulinda lugha ya Kiswahili na chama cha Lugha na Fasihi Tanzania
Aug 05, 2017 12:55Chama cha Lugha na Fasihi ya Kiswahili nchini Tanzania CHALUFAKITA imeitunuku Idhaa ya Kiswahili Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zawadi maalumu ya shahada ya kutunza lugha ya Kiswahili.
-
Spika wa Bunge la Tanzania na wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar wakutana na Larijani
Aug 04, 2017 22:11Maspika wa mabunge ya Tanzania na Madagascar na wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar wamekutana na kufanya mazungumzo katika nyakati tofauti na Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran.
-
SAUTI, Viongozi wa CUF Zanzibar wamekutana leo kujadili njia za kuchukua kufuatia hatua ya bunge dhidi ya chama hicho
Jul 28, 2017 12:20Viongozi wa chama cha wananchi CUF kutoka bara na visiwani nchini Tanzania wamekutana leo Zanzibar kujadili hatua ya hivi karibuni iliyochukuliwa na Spika wa Bunge la Tanzani Job Ndugai ya kuwapiga kalamu nyekundu wabunge wanane wa chama hicho kufuatia barua iliyowasilishwa na Profesa Ibrahim Haruna Lipumba, Mwnyekiti wa CUF anayetambuliwa na msajili wa vyama vya siasa nchini humo.
-
SAUTI: Maalim Seif azungumzia miaka 53 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
May 02, 2017 12:13CUF yakosoa Muungano wa Tanzania