Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zanzibar

  • SAUTI, Ripoti ya matukio ya Kiislamu iliyoandaliwa na mwandishi wetu wa Zanzibar Harith Subeit

    SAUTI, Ripoti ya matukio ya Kiislamu iliyoandaliwa na mwandishi wetu wa Zanzibar Harith Subeit

    Feb 23, 2018 14:44

    Makumi ya Waislamu visiwani Zanzibar wakiwemo wanawake na wanaume wamehitimu masomo ya lugha ya Kiarabu, masomo ya Qur'an Tukufu na Suna za Mtume Muhammad (saw).

  • SAUTI, CUF yamjia juu Waziri wa Sheria Tanzania, Kabudi, yamtaka aisome upya katiba kuhusu mamlaka ya rais

    SAUTI, CUF yamjia juu Waziri wa Sheria Tanzania, Kabudi, yamtaka aisome upya katiba kuhusu mamlaka ya rais

    Feb 08, 2018 12:07

    Chama cha wananchi CUF nchina Tanzania kimekosoa matamshi ya Waziri wa Sheria wa nchi hiyo, Palamagamba Kabudi bungeni mjini Dodoma aliyesema kwamba, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayo mamlaka kuingilia masuala ya ndani ya Zanzibar hata yasiyohusuu muungano.

  • Ajali ya ndege Zanzibar, marubani wawili wafariki dunia

    Ajali ya ndege Zanzibar, marubani wawili wafariki dunia

    Feb 02, 2018 12:48

    Marubani wawili wamefariki dunia katika ajali ya ndege ndogo iliyotokea katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Abeid Amani Karume visiwani Zanzibar.

  • Maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar

    Maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar

    Jan 12, 2018 13:29

    Rais wa Zanzibar Dakta Ali Mohamed Shein aahidi elimu ya sekondari bila malipo

  • Wanawake wanaotalikiwa Zanzibar kupewa asilimia 50 ya mali walizochuma kwenye ndoa

    Wanawake wanaotalikiwa Zanzibar kupewa asilimia 50 ya mali walizochuma kwenye ndoa

    Jan 09, 2018 13:28

    Wanawake wanaotalikiwa katika visiwa vya Zanzibar sasa watapewa asilimia 50 ya mali walizochuma wakiwa kwenye ndoa.

  • SAUTI, Serikali visiwani Zanzibar yatakiwa kusaidia harakati za kutokomeza vitendo vya udhalilishaji dhidi ya wasichana

    SAUTI, Serikali visiwani Zanzibar yatakiwa kusaidia harakati za kutokomeza vitendo vya udhalilishaji dhidi ya wasichana

    Jan 08, 2018 14:26

    Jumuiya Ya Walimu wa Madrasa za Qur-an inayojishughulisha na kupiga vita vitendo vya udhalilishaji visiwani Zanzibar, imeiomba serakali ya mapinduzi ya Zanzibar kuweka Hukumu Kali Kwa Watu Wanaofanya vitendo vya Udhalilishaji dhidi ya wanawake na watoto.

  • SAUTI, Idhaa ya Kiswahili Redio Tehran yatunukiwa tuzo ya kulinda lugha ya Kiswahili na chama cha Lugha na Fasihi Tanzania

    SAUTI, Idhaa ya Kiswahili Redio Tehran yatunukiwa tuzo ya kulinda lugha ya Kiswahili na chama cha Lugha na Fasihi Tanzania

    Aug 05, 2017 12:55

    Chama cha Lugha na Fasihi ya Kiswahili nchini Tanzania CHALUFAKITA imeitunuku Idhaa ya Kiswahili Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zawadi maalumu ya shahada ya kutunza lugha ya Kiswahili.

  • Spika wa Bunge la Tanzania na wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar wakutana na Larijani

    Spika wa Bunge la Tanzania na wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar wakutana na Larijani

    Aug 04, 2017 22:11

    Maspika wa mabunge ya Tanzania na Madagascar na wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar wamekutana na kufanya mazungumzo katika nyakati tofauti na Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran.

  • SAUTI, Viongozi wa CUF Zanzibar wamekutana leo kujadili njia za kuchukua kufuatia hatua ya bunge dhidi ya chama hicho

    SAUTI, Viongozi wa CUF Zanzibar wamekutana leo kujadili njia za kuchukua kufuatia hatua ya bunge dhidi ya chama hicho

    Jul 28, 2017 12:20

    Viongozi wa chama cha wananchi CUF kutoka bara na visiwani nchini Tanzania wamekutana leo Zanzibar kujadili hatua ya hivi karibuni iliyochukuliwa na Spika wa Bunge la Tanzani Job Ndugai ya kuwapiga kalamu nyekundu wabunge wanane wa chama hicho kufuatia barua iliyowasilishwa na Profesa Ibrahim Haruna Lipumba, Mwnyekiti wa CUF anayetambuliwa na msajili wa vyama vya siasa nchini humo.

  • SAUTI: Maalim Seif azungumzia miaka 53 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

    SAUTI: Maalim Seif azungumzia miaka 53 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

    May 02, 2017 12:13

    CUF yakosoa Muungano wa Tanzania

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS