36
Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahilim Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ikikutangazieni kutoka mjini Tehran. Hii ni sehemu ya 36 ya kipindi hiki cha Sibtain katika Qur'ani na Hadithi ambacho huwa kinazungumzia sifa, fadhila na utukufu wa wajukuu wawili wa Mtume Mtukufu ambao si wengine bali ni Imamain al-Hassan na al-Hussein (as). Ni matumaini yetu kuwa kama vilivyokuwa vipindi vilivyopita, kipindi hiki pia kitatunufaisha zote kutokana na yale tutakayoyasikia humu, kari