Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Vipindi
  • Hifadhi
  • Darsa ya Qur'ani
  • Frikwensi
  • Tovuti Kongwe
  • Hifadhi
  • iPhone
  • Pakua
  • Frikwensi

Sibtain katika Qur'ani na Hadithi

Feb 16, 2020 07:54 UTC
Vipindi Vingine
  • Hakika ya Uwahabi
    Hakika ya Uwahabi
  • KOMBE LA DUNIA QATAR 2022
    KOMBE LA DUNIA QATAR 2022
  • Hija
    Hija
  • Wiki ya Umoja
    Wiki ya Umoja
  • Miaka 40 ya Mapinduzi ya Kiislamu
    Miaka 40 ya Mapinduzi ya Kiislamu
  • Dini
    Dini
  • Ulimwengu wa Michezo
    Ulimwengu wa Michezo

  • 40
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni katoka mjini Tehran. Karibuni kusikilizaji sehemu ya 40 katika mfululizo wa vipindi hivi vya Sibtain katika Qur'ani na Hadithi ambavyo huangazia fadhila na sifa za wajukuu wawili wa Mtume Mtukufu (saw) ambao ni Imamain Hassan na Hussein, wajuu ambao walipendwa sana na Mtume na ambaye aliwausia Waislamu wote wawapende, waheshimu utukufu wao na kuwalinda kutokana na madhara.
  • 39
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhruri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Ni matumaini yangu kuwa nyote hamjambo na mko tayari kujiunga nasi katika kipindi kingine cha Sibtain katika Qur'an na Hadithi hii ikiwa ni sehemu ya 39 katika mfululizo wa vipindi hivi ambavyo huzungumzia sifa na fadhila za wajukuu wawili wa Mtume Muhammad (saw) ambao si wengine bali ni Imam Hassan na Hussein. Karibuni…
  • 38
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaama Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kusikiliza sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Sibtain katika Qur'ani na Hadithi ambacho kama mnavyojua huzungumzia sifa na fadhila za wajukuu wawili wa Mtume wetu Mtukufu Muhammad al-Mustafa (saw) ambao si wengine bali ni Imam Hassan na Hussein (as).
  • 37
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaama Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kusikiliza kipindi kingine cha Sibtain katika Qur'ani na Hadithi ambacho kinakujieni kupitia Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Kipindi hiki kama mnavyojua wasikilizaji wapenzi, huzungumzia sifa na fadhila za Maimamu na wajukuu wawili wa Mtume Mtukufu (saw) yaani al-Imamain Hassan na Hussein (as) kwa mujibu wa Qur'ani Takatifu na Hadithi za Mtume (saw).
  • 36
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahilim Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ikikutangazieni kutoka mjini Tehran. Hii ni sehemu ya 36 ya kipindi hiki cha Sibtain katika Qur'ani na Hadithi ambacho huwa kinazungumzia sifa, fadhila na utukufu wa wajukuu wawili wa Mtume Mtukufu ambao si wengine bali ni Imamain al-Hassan na al-Hussein (as). Ni matumaini yetu kuwa kama vilivyokuwa vipindi vilivyopita, kipindi hiki pia kitatunufaisha zote kutokana na yale tutakayoyasikia humu, kari
  • 35
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Bismillahir Rahmanir Rahiim. Salamu njema na bora zaidi zimuendee Mtume wetu Mtukufu Muhammad (saw) na Aali zake watoharifu (as). Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Ni wasaa mwingine wa kujiunga nanyi katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Sibtain katika Qur'ani na Hadithi.
  • 34
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Hiki ni kipindi kingine katika mfululizo wa vipindi vya Sibtain katika Qur'ani na Hadithi. Tunamshukuru Mwenyezi Mungu ambaye ametuongoza kwenye dini yake ya haki kupitia Mtume wake mkweli na mbora wa viumbe Muhammad (saw) na mawasii wake watoharifu (as). Ni matumaini yetu kuwa mko tayari kabisa kusikiliza kipindi hiki ambacho tunatumai kitakunufaisheni vya kuto
  • 33
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Alaykum wapenzi wasikiliza wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran, hii ikiwa ni sehemu ya 33 katika mfululizo huu wa vipindi cha Sibtain katika Qur'ani na Hadithi.
  • 32
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Alaikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Hiki ni kipidi cha 31 katika mfululizo wa vipindi vya Sibtain ambavyo kama mnavyojua hujadili na kuzungumzia utukufu na fadhila za wajukuu wawili wa Mtume Mtukufu (saw) ambao ni Maimamu Hassan na Hussein (as) kwa msingi wa kitabu kitakatifu cha Qur'ani na Hadithi za Kiislamu.
  • 31
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Alaikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Hiki ni kipidi cha 31 katika mfululizo wa vipindi vya Sibtain ambavyo kama mnavyojua hujadili na kuzungumzia utukufu na fadhila za wajukuu wawili wa Mtume Mtukufu (saw) ambao ni Maimamu Hassan na Hussein (as) kwa msingi wa kitabu kitakatifu cha Qur'ani na Hadithi za Kiislamu.
Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS