81
UN: Sekta ya Afya Gaza imeporomoka kutokana na mashambulizi ya Israel
Karibuni kujiunga nami katika Makala hii ambayo huangazia baadhi ya matukio muhimu nchini Iran katika uga wa Sayansi, Tiba na Teknolojia. Katika Makala hii tutaangazia ripoti za Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya kuporomoka katika Ukanda wa Gaza kufuatia mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel..